wana JF,
Natamani na mimi nikaache ka TV kangu (size yake nakajua) ila ningetaka sehemu ambapo WC itaonyeshwa LIVE kwenye big screen na penye washabiki. DAR popote nitakwenda ingawa prefarable city centre,Upanga,Oysterbay, mpaka njia ya Mwenge/Mbezi maana nitakuwa naelekea kwetu.Kulipa nitakuwa tayari.
Thx.
Natamani na mimi nikaache ka TV kangu (size yake nakajua) ila ningetaka sehemu ambapo WC itaonyeshwa LIVE kwenye big screen na penye washabiki. DAR popote nitakwenda ingawa prefarable city centre,Upanga,Oysterbay, mpaka njia ya Mwenge/Mbezi maana nitakuwa naelekea kwetu.Kulipa nitakuwa tayari.
Thx.