TASLIMU
Senior Member
- May 6, 2011
- 144
- 21
Wanajamvi naomba kujuzwa aliko Francicy Kiwanga(kijana)mkurugenz wa tume ya haki za binamu,naona siku hizi kuna yule mama Helen kijo Bisimba,au ndo ameshukua nafasi yakijana yule
My take! infomation z power au lejea katika katiba ya Tz ibara ya 18 kifungu kidogo.......ulazima wa kupata taarifa
My take! infomation z power au lejea katika katiba ya Tz ibara ya 18 kifungu kidogo.......ulazima wa kupata taarifa