Viper JF-Expert Member Dec 21, 2007 3,667 1,400 Feb 15, 2012 #1 Masela wanatesa sana pande za Tamil Nadu ..! kombe ya mbuzi! Juzi kati walimpiga Delhi United bao 6
Masela wanatesa sana pande za Tamil Nadu ..! kombe ya mbuzi! Juzi kati walimpiga Delhi United bao 6
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Feb 15, 2012 #2 Huyo aliyefunga kilemba ndio kocha wao?
Viper JF-Expert Member Dec 21, 2007 3,667 1,400 Feb 15, 2012 Thread starter #4 Ndallo said: Huyo aliyefunga kilemba ndio kocha wao? Click to expand... Yeh ndio kocha... wao
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Feb 15, 2012 #7 huyo uwanja likizuka varangati hapo hiyo mimawe atapona nmtu kweli?
Wkaijage Senior Member Feb 14, 2012 195 13 Feb 15, 2012 #8 Wabaya wao wa ligi ni REAL MADRID. Barca wanawaonea hao wa mbuzi.
Achahasira JF-Expert Member Mar 9, 2011 1,213 214 Feb 15, 2012 #10 wewe wahindi au waarabu.tena waraabu wa yemen
sabasita JF-Expert Member Oct 29, 2009 1,501 392 Feb 15, 2012 #11 hi hi hi hi hi...imenioondolea stress za leo
Viper JF-Expert Member Dec 21, 2007 3,667 1,400 Feb 16, 2012 Thread starter #12 haha kocha kapiga kubazi ... wachezaji njumu na rangi za soksi kila mtu ya kwake ...
TIMING JF-Expert Member Apr 12, 2008 24,891 11,288 Feb 16, 2012 #13 Katavi said: Messi wao hapo ni yupi? Click to expand... kachuchumaa kimtindo mbele kushoto
TIMING JF-Expert Member Apr 12, 2008 24,891 11,288 Feb 16, 2012 #14 hahahaaaaa, yani kila nikiangalia hii picha nacheka mwenyewe.... villa anaonekana kama amekumbuka kitu hivi sijui ni hom au kitaa
hahahaaaaa, yani kila nikiangalia hii picha nacheka mwenyewe.... villa anaonekana kama amekumbuka kitu hivi sijui ni hom au kitaa
Iza JF-Expert Member Jan 8, 2009 2,026 612 Feb 16, 2012 #15 Nimewakubali Xavi na Iniesta..kwa jinsi walivyo balaa wamepiga tracksuit kudadadeki..!
Idimi JF-Expert Member Mar 18, 2007 14,970 10,462 Feb 16, 2012 #16 Duh. Kumbe hapo waliposimama ndio uwanja wenyewe? Hii kali
Viper JF-Expert Member Dec 21, 2007 3,667 1,400 Feb 16, 2012 Thread starter #17 Iza said: Nimewakubali Xavi na Iniesta..kwa jinsi walivyo balaa wamepiga tracksuit kudadadeki..! Click to expand... Danny Alves utadhani Kibaka flani hivi... hehe:lol:
Iza said: Nimewakubali Xavi na Iniesta..kwa jinsi walivyo balaa wamepiga tracksuit kudadadeki..! Click to expand... Danny Alves utadhani Kibaka flani hivi... hehe:lol:
Masikini_Jeuri JF-Expert Member Jan 19, 2010 6,829 1,296 Feb 16, 2012 #18 Saint Ivuga said: huyo uwanja likizuka varangati hapo hiyo mimawe atapona nmtu kweli? Click to expand... Tunawaza pamoja kwenye hili.............ombea ndio uwe uwanja wao wa nyumbani la sivyo.................!
Saint Ivuga said: huyo uwanja likizuka varangati hapo hiyo mimawe atapona nmtu kweli? Click to expand... Tunawaza pamoja kwenye hili.............ombea ndio uwe uwanja wao wa nyumbani la sivyo.................!
nimie JF-Expert Member Sep 9, 2011 525 104 Feb 16, 2012 #19 hahaha Keita kajichubua halafu akabaa wigi na Barcelona wakiiona hii wanaenda ICC the Hague.