pamiho
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 271
- 35
Hayo mambo ya kule ugomvi usikosha yametokea wapi?Mbona wanyakyusa walipokuwa wengi NIC watu walilalamika?Hata hivyo nadhani ni mapenzi ya watu wenyewe kwani jeshini wengi ni kutoka kule kwenye ugomvi usiokwisha,mapanga,marungu,kuibiana ng'ombe n.k
Sasa hivi utakuta wachaga wengi ni wahudumu wa mabaa,madanguro,na sehemu mbalimbali za starehe!
Nitakutafuta jioni....:mad2: