albuluushiy
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 1,404
- 685
WAPELESTINA WASHEREHEKEA USHINDI:
Wapalestina wamesherehekea ushindi waloupata dhidi ya Mayahudi,katika vita iliyo endelea kwa muda wa siku 50.
Inazingatiwa ya kuwa wameshinda kwa sababu zifuatazo:
1-Kile Mayahudi walichokuwa wanakitaka hawajafanikiwa,ikiwa ni pamoja na kuwanyang'anya Wapelistina silaha ambazo kwa sasa wanazitengeneza.
2-Israeli wanadai kuwa jeshi lake ndio jeshi bora Mashariki ya kati lakini wamekubali kusitisha mapigano kwa masharti ya Palestina na si kwa masharti yao.
3- Kwa mara ya kwanza Palestina wanauwa idadi kubwa ya wanajeshi wa israili ukilinganisha na vita vya nyuma walipokuwa wakitumia mawe tuu kujibu mashambulzi.
4-Uchumi wa Israili umeyumba kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na vita vya mwanzo walipokuwa wakiwauwa kwa silaha nzito,huku wapalestina wakitumia mawe tu.
5-kubwa ya yote Mayahudi wamekubali kusitisha mapigano kwa masharti ya Palestina"kama"kumaliza mzingiro huko Gaza,kufunguliwa mipaka,kuimarishwa Gaza nk.ama wao walichokipata ni kuuwa watoto,wanawake,na wote wasiohusika pamoja na kuvunja majumba hovyo.
Wapalestina wamesherehekea ushindi waloupata dhidi ya Mayahudi,katika vita iliyo endelea kwa muda wa siku 50.
Inazingatiwa ya kuwa wameshinda kwa sababu zifuatazo:
1-Kile Mayahudi walichokuwa wanakitaka hawajafanikiwa,ikiwa ni pamoja na kuwanyang'anya Wapelistina silaha ambazo kwa sasa wanazitengeneza.
2-Israeli wanadai kuwa jeshi lake ndio jeshi bora Mashariki ya kati lakini wamekubali kusitisha mapigano kwa masharti ya Palestina na si kwa masharti yao.
3- Kwa mara ya kwanza Palestina wanauwa idadi kubwa ya wanajeshi wa israili ukilinganisha na vita vya nyuma walipokuwa wakitumia mawe tuu kujibu mashambulzi.
4-Uchumi wa Israili umeyumba kwa kiasi kikubwa ukilinganisha na vita vya mwanzo walipokuwa wakiwauwa kwa silaha nzito,huku wapalestina wakitumia mawe tu.
5-kubwa ya yote Mayahudi wamekubali kusitisha mapigano kwa masharti ya Palestina"kama"kumaliza mzingiro huko Gaza,kufunguliwa mipaka,kuimarishwa Gaza nk.ama wao walichokipata ni kuuwa watoto,wanawake,na wote wasiohusika pamoja na kuvunja majumba hovyo.