Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,954
- 3,011
Haianaga Kondoo Tunachinjaaagaaa
mchungaji alikua anabusu ile kitu namesa mwensakeduu hii nayo Kali,hv hao wamama hawajaona haya kabisaa kuvua hizo nguo.....mbona wachungaji timing zao ni wanawake na pesa tu hasa wachungaji wanaume...mbona sijasikia vihoja hivyo kwa wachungaji wa kike?
hahahahahahamchungaji alikua anabusu ile kitu namesa mwensake
Kama huyu Mchungaji wa Nigeria aliweza kuwabusu makalio kwanini iwe shida kwa huyu wa Kenya...Walokole ni janga la ulimwengu
View attachment 404460
Hao walikuwa wanataka kuolewa..Naanza kuamini mwanamke ni kiumbe dhaifu sana, na ukute hao wanatafuta watoto tu matokeo yake wanaishia kudhalilishwa namna hiyo.
Kweli akili ni nywele,sasa hata huyo mchumba akiona mali zake zimeanikwa hivyo kweli hata hamu ya kuoa si inaishia hapoHao walikuwa wanataka kuolewa..