kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,422
- 3,393
Jana nilikuwa sehemu na rafiki yangu, tulikuwa tunatembea tu, tukamkuta mzungu na rafiki yake ambaye mbongo nao wanatembea.
Sasa mbele kulikuwa na mbuzi, yule mzungu akaenda kwa yule mbuzi kwa kugusanisha sura kabisa akapiga nae picha, yule mbuzi alitulia tu hakukimbia wala kutingishika, nikamwambia rafiki kuwa hawa jamaa wamebarikiwa sana, akajibu kuwa hakuna mbuzi hanaga shida na mtu.
Nikamwambia poa nenda na wewe, akaenda kwani alifika hata kufika, mbuzi alitimua mbio nusu agongwe na gari, nilijisikia vibaya sana.
Sasa mbele kulikuwa na mbuzi, yule mzungu akaenda kwa yule mbuzi kwa kugusanisha sura kabisa akapiga nae picha, yule mbuzi alitulia tu hakukimbia wala kutingishika, nikamwambia rafiki kuwa hawa jamaa wamebarikiwa sana, akajibu kuwa hakuna mbuzi hanaga shida na mtu.
Nikamwambia poa nenda na wewe, akaenda kwani alifika hata kufika, mbuzi alitimua mbio nusu agongwe na gari, nilijisikia vibaya sana.