PAS
JF-Expert Member
- May 3, 2010
- 454
- 8
kama binadamu wote mungu angemweka wawe levo moja, hakuna maendele ambayo yangekuwepo katika dunia hii....
ndio mana kwa tz tukiangalia takwimu zetu za maisha ni hii:
house girls- wahee, wachaga(warombo,kibosho)
wamachinga-wamakonde na wenzao kutoka mtwara
mafundi saa - wachaga(sijui wa wapi)
shoeshine-masai na wachaga
wachonga mihuri-wajaluo
mengine ongezeeni hapo
ndio mana kwa tz tukiangalia takwimu zetu za maisha ni hii:
house girls- wahee, wachaga(warombo,kibosho)
wamachinga-wamakonde na wenzao kutoka mtwara
mafundi saa - wachaga(sijui wa wapi)
shoeshine-masai na wachaga
wachonga mihuri-wajaluo
mengine ongezeeni hapo