Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,251
Moja ya kosa kubwa tunalofanya wanaume ni kutowapa sifa wanazostahili hawa mabinti wazuri, ukweli wazuri wengi huwa wanaringa na inakua ngumu kuwapata maana wana masharti na vigezo vingi. Kama hata una vichache uwe unajaribu kidogo bahati yako.
Nina bahati ya kuwa na jicho la kuona na kupata mabinti wazuri wazuri, hivyo nina kila kigezo cha kuwa na huyu wa sasa. Cute wife is a real deal
She is a complete package
Ukiwa na huyu stress zinatoka wapi? I'm happier and stress free
Nafahamu vizuri tu one who is beautiful for someone ,might not beautiful to others. Lakini sio kwa huyu
Kuna wale mtaachana tu, sikiliza what happens in the future is unknown to everyone, why not let it be unknown? Hakuna ajuaye kesho hata mtunzi wa kalenda
Heshima kwa wote mnaomiliki pisi kali, nawapa vyeo nawavisha na uaskari, achaneni na story za bandari.
Nina bahati ya kuwa na jicho la kuona na kupata mabinti wazuri wazuri, hivyo nina kila kigezo cha kuwa na huyu wa sasa. Cute wife is a real deal
She is a complete package
- Reception
- Artistic eyes
- Kissable lips
- Scooped dimples
- Lovely boobs
- Kiuno
- Tako, very good shape
- Nice legs
Ukiwa na huyu stress zinatoka wapi? I'm happier and stress free
Nafahamu vizuri tu one who is beautiful for someone ,might not beautiful to others. Lakini sio kwa huyu
Kuna wale mtaachana tu, sikiliza what happens in the future is unknown to everyone, why not let it be unknown? Hakuna ajuaye kesho hata mtunzi wa kalenda
Heshima kwa wote mnaomiliki pisi kali, nawapa vyeo nawavisha na uaskari, achaneni na story za bandari.