Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,308
- 14,207
Katika hali isiyo ya kawaida bishop mmoja huko kenya amekamatwa akila kondoo wake huko guest house. Mume wa kondoo huyo alipojua kuwa mkewe atakuwa anachepuka akaamua aende kwa mtaalam aweze kumsaidia, na ndipo alipopatiwa dawa.
Bishop huyo akiwa ameshazoea kula kondoo wake alienda tena gesti kula tunda kimasihara ndipo nyuki zilipotoka kusikojulikana nakuanza kuwang'ata hadi kupelekea wote kukikimbia chumba wakiwa uchi wa mnyama kabla ya wahudumu wa hiyo gesti kuwakamata na kuwastiri kidogo. Wamekamatwa na kesi inaendelea!
Bishop huyo akiwa ameshazoea kula kondoo wake alienda tena gesti kula tunda kimasihara ndipo nyuki zilipotoka kusikojulikana nakuanza kuwang'ata hadi kupelekea wote kukikimbia chumba wakiwa uchi wa mnyama kabla ya wahudumu wa hiyo gesti kuwakamata na kuwastiri kidogo. Wamekamatwa na kesi inaendelea!