Wandugu tushauriane kwenye hili la NEC (Urais)

Msimamizi (mkurugenzi wa halmashauri) atascan document ya matokeo iliyosainiwa na mawakala wa vyama vya siasa kwenda tume nao wataifungua mbele ya mawakala wa vyama na waangalizi wa uchaguzi watakao kuwa kwenye ofisi ya tume. ( haya aliyasema Mwanasheria wa tume ya uchaguzi jana ITV kwenye kipindi cha Mtiti wa uchaguzi)
 
EL sio mjinga wa kutokujua haya. Magamba walipoleta hackers wa kichina naye ameingiza Computer analyst and contractors zaid ya 45 kwa kazi hiyo. Wizi wa kura kwa njia ya mtandao co jambo geni tena baada ya yaliyotokea kwenye uchaguz uliopita nchini kenya. Uhuru alishinda kwa njia hii. Cha msingi ni ukawa kujiimarisha huku peripheral ili kura zifike kama zilivokusanywa.

Narudia tena Do not underestimate EL. He is more than a Mafia in politics.
 
Mkuu Alure ulicho andika ndo haswa penye shida kubwa ya hili suala.... ni kwa kiasi gani Ukawa wanaweza ingia kwenye server/ system ya kuhesabia kura kisheria... maana tume ikiisha tangaza basi hamna jipya... huwezi lalamika popote na si hata mahakama ya rufaa... then utabaki na data zako kama ukawa na kusema umeibiwa najuhudi zote hizi zinaweza futwa na click of few buttons kwenye computer....

Upo sahihi kabisa, hicho ndio mm nakiongelea, unaweza shinda lkn km tume wakitangaza tofauti na data zako, ni sawa na bure
na issue nyingine tume wanatangaza kutokana na matokeo yanayotumwa kwao, km system yao ikiwa hacked wether wakijua au kutokujua watatangaza hcho hcho coz ndicho walichonacho
 
Kudanganya watu wasiojua computa sawa lakini sio UKAWA yenye team ya ma-IT mpaka level ya udocta.
Kwanza nikuambie mfumo mzima wa upigaji kula sio (full computerlized) yaani Kupiga watu watapiga manually kama kawaida yaani sio kwa kubonyeza vitufe vya computer. Ukusanyaji ndio waweza fanywa kwa computer kupitia mtandao. na nakala kuhifadhiwa manually. Sasa nyie chama hamuwez kuhesabu zenu na hata za mwenzenu mkajumlisha kivyenu? Hapo wizi utatoka wapi?

Ndiyo sababu nikaandika ,'' Udanganyifu kupitia server utagundulika kirahisi"
 
Kudanganya watu wasiojua computa sawa lakini sio UKAWA yenye team ya ma-IT mpaka level ya udocta.
Kwanza nikuambie mfumo mzima wa upigaji kula sio (full computerlized) yaani Kupiga watu watapiga manually kama kawaida yaani sio kwa kubonyeza vitufe vya computer. Ukusanyaji ndio waweza fanywa kwa computer kupitia mtandao. na nakala kuhifadhiwa manually. Sasa nyie chama hamuwez kuhesabu zenu na hata za mwenzenu mkajumlisha kivyenu? Hapo wizi utatoka wapi?

Mcharo son, mimi nadhani kama upo uwezekano wa kufanya server za tume zi-stuck zisifanye kazi itakuwa vyema ili matokeo yahesabiwe kwa manual..hapo hakutakuwa na chances za kucheat.
 
EL sio mjinga wa kutokujua haya. Magamba walipoleta hackers wa kichina naye ameingiza Computer analyst and contractors zaid ya 45 kwa kazi hiyo. Wizi wa kura kwa njia ya mtandao co jambo geni tena baada ya yaliyotokea kwenye uchaguz uliopita nchini kenya. Uhuru alishinda kwa njia hii. Cha msingi ni ukawa kujiimarisha huku peripheral ili kura zifike kama zilivokusanywa.

Narudia tena Do not underestimate EL. He is more than a Mafia in politics.
.
Very cheap idea, kwa kukushaur jua tu, powerful people are always behind the picture,and uktqka kuwajarbu,just test the government...
Ulchoandka n ideas za movie, bru' reality is another issue.
 
Kudanganya watu wasiojua computa sawa lakini sio UKAWA yenye team ya ma-IT mpaka level ya udocta.
Kwanza nikuambie mfumo mzima wa upigaji kula sio (full computerlized) yaani Kupiga watu watapiga manually kama kawaida yaani sio kwa kubonyeza vitufe vya computer. Ukusanyaji ndio waweza fanywa kwa computer kupitia mtandao. na nakala kuhifadhiwa manually. Sasa nyie chama hamuwez kuhesabu zenu na hata za mwenzenu mkajumlisha kivyenu? Hapo wizi utatoka wapi?

hapo pekundu umejuaje kama itakuwa hivyo????tume imeshatamka kwamba itakuwa hivyo????nauliza nipate uhakika na ufahamu
 
Mkuu pale Hq matokeo yakiisha ingia kwenye system waliyo kubaliana nadhani kila wakala wa mgombea ataona... shida kubwa nnayo iona ni mchakato mzima wa matokeo ya chato kufika Hq, matokeo ya kule kansweswe yanafikaje Hq? Mchakato wake ukoje? Server nani anazicontrol na je wapinzani wamezichek na kuona ziko sawa????

Mnalia lia enderezeni mbwembwe muone cha moto
 
Nilimsikia mkurungenzi wa sheria akisema matokeo ya ngazi zote yatajulikana kwenye kila kituo. Kila mgombe itafahamika kuwa alipata kura kiasi gani ndani ya kila kituo na kutakuwa na fomu za kujaza matokeo hayo. Ila kuna kura ambazo zinaonakana kuwa na ubishi (zisizo-sawa) ambazo zitahitaji uhakiki ngazi ya juu. Alichosema ni kuwa ngazi za vituo haziwezi kutangaza matokeo, ila kwenye kata atatangazwa diwani, jimbo mbunge na taifa raisi. Alisema pia kuwa kura zinaweza kujumlishwa katuo hadi kituo na wagombea kufahamu mwenendo wa kura zao, ila lazima watilie maanani kura zenye utata ambazo kimsingi ni chache sana.
 
ngoja kwanza niende msalani nmebanwa kidogo maswali magumu sana aya naenda na simu ili nsipitwe
 
Dada FF tusaidie tu kujua matokeo yanakusanywaje toka kwenye vituo vya kupigia kura mpaka kufika Hq ya tume matokeo yatakapo tangazwa....

Pitia tovuti ya NEC kuna maelezo yote na kama hujaridhika watumie barua pepe au wapigie simu.

Mimi sijali wanakusanya vipi mradi Magufuli kisha shinda zamani.
 
Ndio maana rasimu ya katiba mpya kama ilivyowasilishwa na Jaji Warioba ilikataliwa, CCM walishajipanga wakijua uchaguzi huu wanaanguka. Tume ikishatangaza hata kama matokeo yamechakachuliwa, hakuna namna ya kuhoji. Ndio maana watu wenye akili za zama za mawe kama Bulembo na FaizaFoxy wanaapa Upinzani hautaiona milango ya Ikulu.
 
Last edited by a moderator:
Nafikiri ipo haja ya kuiomba azam tv iwe live siku ya tarehe 25 na ipeleke ripota wake ktk kila wilaya atleast na huyo ripota awe na wasaidizi wake kika kituo na ripota wa wilayani apekeke Dsm kila matokeo anayoyapokea na yawe yanajumlishwa live ktk tv.wakihitaji wadhamini azam wasaidiwe
 
Back
Top Bottom