kuna tangazo la precision linasema usd 57,lipo kwenye michuzi blog,but in reality ni usd 200 return plus taxes,bei ya promo,ila kwa SA si chini ya Usd 400,better ingia kwenye google then search.
Sasa kwanini usifafanue aina ya usafiri ili watu wakutafunie maana wewe inaonesha bado u wa pentium one, hivi umeshindwa hata kuchungulia webpage ya PW?!, bei ya ungo au fisi siwezi kuijua. Ciao.
Bandugu kwa faida yenu wote hamna ticket inayoitwa 'go and return' tiketi ya kwenda na kurudi inaitwa 'return ticket' ya kwenda tu inaitwa 'one way ticket'.
Sasa kwanini usifafanue aina ya usafiri ili watu wakutafunie maana wewe inaonesha bado u wa pentium one, hivi umeshindwa hata kuchungulia webpage ya PW?!, bei ya ungo au fisi siwezi kuijua. Ciao.
wabongo tuache uvivu,fungua webåpage ya precision, southafrica airline,
just right flights from dar to south africa(specify your destination) rahis kabisa.
utaona options unachagua.acha hizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.