bombom
JF-Expert Member
- Feb 6, 2013
- 614
- 226
Nadhani hata kamsitu hako kanaweza kakawezesha utajiri........ kwani lazima za kidevuni tu?haaa huko si kuna ka msitu ka kishikaji,palizi kila wikiend.......
Nadhani hata kamsitu hako kanaweza kakawezesha utajiri........ kwani lazima za kidevuni tu?haaa huko si kuna ka msitu ka kishikaji,palizi kila wikiend.......
Nadhani hata kamsitu hako kanaweza kakawezesha utajiri........ kwani lazima za kidevuni tu?
Ni kweli hata mie nimesikia hiyo aiseee...^^
Nimewahi kusikia mahali kuwa ni wazuri katika biashara,pia ukiwaoa ukawa msikivu ktk ushauri wao unaweza kuwa tajiri.
Sikuamini maana isiwe kama maneno mbofu mbofu ya Hayati Mr.Ebbo
^^
Na kwa kuongezea...ni watamu sana..mie ninaye. Asikuambie mtu..pia ni smart kichwani...na wanaweka hoja mezani kiasi kwamba ukiwa legelege anakuwa yeye baba wewe unakuwa mama. Kifupi ni majembe na ndio maana wengi wao wana-mafanikio ki-maisha. Go geter attitudes.
dah! hii kitu itawafanya watu waanze kuwakomalia ati..
sasa kama kila mtu anawasifia kwa mautamu na mafanikio mengine unategemea nini?
kuna wale wenye ndevu ambazo zimechomoza kutokana na madhara ya skin bleaching.vp nao wanaingia ktk kundi la wenye mafanikio:tongue:
Mkuu, mimi huwa sometime napenda utani, lakini hii ni kweli, huyo girlfriend wangu mwenye vindevu huwa naenjoy nikilinganisha na wengine.dah! hii kitu itawafanya watu waanze kuwakomalia ati..