Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,851
- 16,748
Habari za w'end.....!!!Ukiangalia nchi nyingi za Africa, ukiacha Ethiopia, Somalia, Djibouti, na Morocco ambao wanawake wao ni warembo by nature, Tanzania haipo mbali, wanawake wengi pamoja na hali ngumu ya maisha bado wanavutia kisura, kiumbo na hata wacheshi ktk hali ngumu hizo. Kiumbo, ukiacha Somalia, wanawake WENGI wa Tz ndio wanafuatia kwa kuwa na KIUNO KIZURI na MAKALIO YALIOJAA vizuri na hips za kupendeza, wanahitaji matunzo kidogo tu, na wanabadilika na kupendeza, mfano just ugali, samaki, maharage na naziiiii huwapendezesha sana wanawake wa Tz, ukienda Senegal, Ivory coast, liberia, most west & central African countries wanawake ni WAGUMU MNO na wamekomaaaa na hata umlishe nini, weka blue band, mayonnaise, mayai, maziwa hawabadiliki, they are naturally that way, wagumu hadi macho, siko kulaumu, kudharau au kuwasema vibaya huo ndio ukweli, ila wanawake wa kwetu Tz ukiacha nchi ya Somalia & Ethiopia, Tz women wanatisha, hasa kiuno na kwenda chini. Narudia matunzo kidogo tu, mwanamke wa Tz anabadilika paaaap, na kuwa mrembo, kiuno, makalio, hips, hizooooo. Wanawake wa kitanzania hongeraaa.