Mimi yangu imepasuka screen ilidondoka kwenye mawe! akinikosa whatsapp na kwingineko asishangae nishamuarifu! Mbaya zaidi kwenye camera ndo pameharibika mnooo so habare ya picha na kujirekodi ndobasi tena. Akitazitaka ajiongeze ila mi namute tu!Unamnunulia tu simu mpya
Asipokununulia nkuletee iphone mpya kbsMimi yangu imepasuka screen ilidondoka kwenye mawe! akinikosa whatsapp na kwingineko asishangae nishamuarifu! Mbaya zaidi kwenye camera ndo pameharibika mnooo so habare ya picha na kujirekodi ndobasi tena. Akitazitaka ajiongeze ila mi namute tu!
Ikabidi umpe tuNi njia ya upoleya kumnyima mwanaume namba pia... Leo nikamdanganya mkaka wa watu kua nimeibiwa simu, akasema nipe tu namba nikamwambia sijaikariri... Hapohapo simu ikaita ndani ya pochi nilionaje aibu!!!
Mwanaume mateso ndugu yanguKweni raha tunapataga sisi wanaume peke yetu?wamezidi aisee
1 simu mbovu
2 kodi imeisha
3 gas imekata nataka kuagiza boda boda ila sina pes
4 simu yangu haina credit
5 mtoto shule anadaiwa ada na baba yake kanitelekeza
6..........yaani tabu tupu.
Sikia na kingine cha kujiteteaIkabidi umpe tu
Msumbiji tu?AmericaMwanaume mateso ndugu yangu
Sasa je ukiambiwa wanataka tv flat inch 50,si unaweza kukimbilia msumbiji?!
Mm kuna mdada alininyima namba akisema hana simu nkamwambia chukua simu yangu itakuwa rahis kukupata alicheka mpk watu wakashangaaSikia na kingine cha kujitetea
Mm kuna mdada alininyima namba akisema hana simu nkamwambia chukua simu yangu itakuwa rahis kukupata alicheka mpk watu wakashangaa
Hapo kwenye Msumbiji ndio umenimaliza mbavu.Mwanaume mateso ndugu yangu
Sasa je ukiambiwa wanataka tv flat inch 50,si unaweza kukimbilia msumbiji?!
Yaani mi nimejaribu kujitahidi kumuomba mwanaume hela ata vocha ya jero nimeshindwa!!!Kweni raha tunapataga sisi wanaume peke yetu?wamezidi aisee
1 simu mbovu
2 kodi imeisha
3 gas imekata nataka kuagiza boda boda ila sina pes
4 simu yangu haina credit
5 mtoto shule anadaiwa ada na baba yake kanitelekeza
6..........yaani tabu tupu.
Lol Weee leta leta kabisa.. Nitaipokwa kiroho safiiiiiii bila hiyanaAsipokununulia nkuletee iphone mpya kbs
Haha wambie haooo! Mwanaume hakimbii majukumuIkabidi umpe tu
Mi nikiwa out of credit or data nakaa zangu kimya.. Akiniuliza kulikoni jibu sina kifurushiYaani mi nimejaribu kujitahidi kumuomba mwanaume hela ata vocha ya jero nimeshindwa!!!
Nawewe mwambie unahsi ya sim yako itadumbukia kisimani
Kaoge maji ya baharini siyo hali ya kawaida hiyoYaani mi nimejaribu kujitahidi kumuomba mwanaume hela ata vocha ya jero nimeshindwa!!!
Ata wazazi wangu wenyewe kuwaomba hela ya vocha nashindwaKaoge maji ya baharini siyo hali ya kawaida hiyo
MhAta wazazi wangu wenyewe kuwaomba hela ya vocha nashindwa