bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
W'ke wawili yaani X and Y walikufa kisha kukutana ahera,
X:alimwuliza Y mwenzangu ulikufaje?
Y:Akamjibu nilikufa nikiwa kwenye friji, na wewe mwenzangu je??
X:Nilikuwa nimetoka sokoni, narudi nyumbani ile nafungua mlango nikamkuta mme wangu akiwa amekaa sebuleni kwenye kochi akiwa mtupu kabisa yaani uchi, na si kawaida yake.Nikajua kabisa lazima alikuwa anazini na mwanamke, bila kumwuliza,nikaanza kumsaka huyu kahaba, huku na kule katika harakati ya kupanda first floor kumsaka nikateleza kwenye nga9i nikateleza kwenye ngazi na kuvunjika shingo papo hapo nikapoteza uhai.
Y:Akadakia, akasema mwenzangu kumbe ungekuja kwenye friji kunitafuta wöte tusingekufa.
X:alimwuliza Y mwenzangu ulikufaje?
Y:Akamjibu nilikufa nikiwa kwenye friji, na wewe mwenzangu je??
X:Nilikuwa nimetoka sokoni, narudi nyumbani ile nafungua mlango nikamkuta mme wangu akiwa amekaa sebuleni kwenye kochi akiwa mtupu kabisa yaani uchi, na si kawaida yake.Nikajua kabisa lazima alikuwa anazini na mwanamke, bila kumwuliza,nikaanza kumsaka huyu kahaba, huku na kule katika harakati ya kupanda first floor kumsaka nikateleza kwenye nga9i nikateleza kwenye ngazi na kuvunjika shingo papo hapo nikapoteza uhai.
Y:Akadakia, akasema mwenzangu kumbe ungekuja kwenye friji kunitafuta wöte tusingekufa.