Katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani,shirika la utangazaji la bbc limemkariri mwanamke katika moja ya maadhimisho hayo mjini Kampala nchini Uganda akiwahimiza wenzake kudai haki ya kuolewa na wanaume (mume zaidi ya mmoja) kwa wakati mmoja kama wanavyofanya wanaume ambao huoa wanawake kadhaazMwanamke huyo alienda mbali zaidi na kutaka yeye(mwanamke) ndiye
awe mkuu wa kaya na wanaume wapeane zamu za kwenda kuhudumiwa,akimtolea mfano mfalme Mswati wa Botswana ambaye ana wake wengi ambao huenda ktk kasri la mfalme kwa zamu na kwa matakwa ya mfalme.
awe mkuu wa kaya na wanaume wapeane zamu za kwenda kuhudumiwa,akimtolea mfano mfalme Mswati wa Botswana ambaye ana wake wengi ambao huenda ktk kasri la mfalme kwa zamu na kwa matakwa ya mfalme.