Habari zenu,
Kama wewe ni Mwanaume unaejitafuta kimaisha ningependa kukupa ushauri huu, Mademu wasiokua na hela waachie wababu wanaokula pension na washkaji walioachiwa pesa za urithi. Utanishukuru!
NB: MADEMU KAUSHA DAMU NDIO NAWAONGELEA HAPA.
Kama wewe ni Mwanaume unaejitafuta kimaisha ningependa kukupa ushauri huu, Mademu wasiokua na hela waachie wababu wanaokula pension na washkaji walioachiwa pesa za urithi. Utanishukuru!
NB: MADEMU KAUSHA DAMU NDIO NAWAONGELEA HAPA.