it is ok , moyo wangu uwa unakuwa ZZZZzzzzzzzzzz with LOVE , kwa tabsamu , miguu uwa siangalii kabisa, to me is OK, awe na kucha asiwe nazo , it is OK, labda awe kibogoyo ninaweza nikajali
Hivi unajisikiaje kumkuta binti kigoli hana kucha katika vidole gumba vya miguuni.wengine wanajitaidi kuvipga rangi lakini wapi!
nitarejea kidogo
pesa sio kila kituwewe muwezeshe tu uone kama lundega hajaanza kumfata...pesa sio mchezo ...inafanya barafu kuwa moto
kumbe wewe mzushi basi ..unatafuta picha ya nini? weka iyo ya kwake tuone..wewe sema tu umemchoka dada wa watu bananatafuta picha ya vidole visivyo na kucha sijapata ndo mtajua namaanisha nini
unamuwekea vya bandia
mwanamke matunzo kaka...hakuna mwanamke mbaya duniani..wewe muwezeshe tu uone kama lundega hajaanza kumfata...pesa sio mchezo ...inafanya barafu kuwa moto
kuna hadi lips za bandia:biggrin1: aisee hiyo ni kweli kuna mdada mmoja mweusi usi hivi hua namuonaga mbaya mh kuna siku nikamuona kwenye harusi alikua kashaenda salun amevaa vizuri mh sikuamini..kwanza hata hakua mweusi tena alikua mweupe sa sijui ilikuaje pale, alivutia ghafla...kweli mwanamke ni kutengenezwa na siku hizi kila kitu kipo
unamuwekea vya bandia
mwanamke matunzo kaka...hakuna mwanamke mbaya duniani..wewe muwezeshe tu uone kama lundega hajaanza kumfata...pesa sio mchezo ...inafanya barafu kuwa moto