Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Halafu unabisha kuwa hakuna wanaojiuza na huku komenti zenyewe ndo hizi...Hebu nipishe mie nikale!!!!!! maskini wa fikra, wavivu, wapenda vya bure ndo wa kwanza kulalamika......... kama unauziwa si uache kununua!!!!!!!!