Mrs Besyige
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 926
- 2,468
kwamba unawishwe kwa adabu???Nini sasa
kwamba unawishwe kwa adabu???Nini sasa
Duuuh kumbe ndio maanaWanaume wanabakia kupewa style moja ya kifo cha mende aliyekufa mwenyewe
Ndiokwamba unawishwe kwa adabu???
Not trueHabari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Niende moja kwa moja kwenye mada,
Wanawake bwana wana vituko sana, yaani kwenye uchumba wanaweka mbwembwe kwenye sita kwa sita ni hatari.
Wakiwa na wachumba wanakuwa wanapiga style kali zile za Pon, wakiingia kwenye ndoa wanaziacha.
Wanaume wanavurugwa na ma style ya mguu chaga mguu neti, zingine zinaitwa za kichina china huu haa.
Wanawake wajanja bana yaani wanawachanganya tu wanaume kuwa wao ni mafundi wa sita kwa sita.
Balaa linaanza pale wanapoolewa na kuwekwa ndani zile mbilingembilinge za kunyumbilika zinapotea kabisa.
Wanawake wakiingia tu ndani ya ndoa, wanaanza upya, yaani yale maseke seke yote ya kitandani yanaachwa kule.
Wanaume wanabakia kupewa style moja ya kifo cha mende aliyekufa mwenyewe sio aliyepuliziwa dawa maana huyo anakuwa anajigeuza geuza sana.
Alisikika mwanaume mmoja akiwaambia wenzake na wenzake wakasema na wao janga ni lile lile..
Sasa tusikie na kwenu wanaume je ninkweli wanawake wanabadilika zile style za mapenzi kitandani?
Mkuu poleNi vingi huachwa
Kupika
Kukunawisha mikono kwa heshima
Kukuhudumia chakula wakati Baada ya ndoa watoto na Dada hutumiaka zaidi.
Mpikie baba huwa nyingi sana muwekee maji ya kuoga.
Wkend Kama hivi unakuta tangu kumekucha mtu yupo na simu simu simu tuu si tayari yupo kwenye ndoa?
Tuvumilie ndivyo walivyo
Chuma Mboga au Doggystyle?hata niolewe miaka kumi ya ndoa kuna style siwezi acha weeeee
Unakuta zile 'baba mchungaji amesema Leo tukasaidie kufanya usafi nyumbani kwake'Mkuu pole
Hukuoa mkeo