..Punguza mzuka mazee, amesema anapenda wanawake wenye mimba....mimba za wanaume wenzie vipi tena???hii ni laana! unapenda mimba za wanaume wenzio?
when you think you have seen it all.....
Wewe Nyivonduma wala usipate shida, kuna baa moja ambayo wahudumu wake ni wajawazito tu... ni PM nikuelekeze mzee ukaburudishe roho yako, hakuna kuhangaika na dala dala...
Mkulu hii hali inanisumbua najihisi vibaya nataka kuiacha am too kind and nice to pregnant women, mpaka nahisi watoto wengine watazaliwa wanafanana na mimi. Imefikia kipindi jogoo apendi manara kama sijaona mwanamke mjamzito. Nataka kuiacha nilienda kwenye maombi ili niombewe lakini mchungaji akasema shika panapokuuma nikashindwa pa kushika nisaidieni jamani.
hahahahaha...this is classic
Kwa kweliiii Ngabu umenena...natumaini huyu jamaa kukidhi haja unabidi uongezege na masikio kabisa. Tena utongozaji wa hawa wa mama ni rahisi sn. Wee nenda naye hivyohivyo huku unamsifia kuwa amependeza na anavutia...kwa kweli majority huwa na min***e ya hatari sana unaweza ukawa unaponea hapo! Ama?This has got to be one of the sickest fantasies....SMH...
Jamani mimi napenda sana wanawake wajawazito infact nikimwona tu anatokea naenda mnara naweza kupanda daladala naye na nishuke mpaka afike na mimi nageuza tena. hata ofisini nikimwona mdada anadalili za kupata mimba au ana mimba nakuwa naye karibu hata chai namwandalia sema wengi huwa mimba zao hazinipendi.
Ni ugonjwa au ni nini? napenda kweli wajawazito nitaachaje hii tabia?
lol Salamuu Maria......mmmh, hiii dunia kwisha kazi yake!!!, sasa si uende wodini ukamalize hamu, nikikuona nyuma ya mama watotowangu walahi, nakushusha busha lol.
Ee bwana eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.Hii kali!
Umeolewa? labda niulize wewe ni He/She?
This has got to be one of the sickest fantasies....SMH...
ha ha ha ha ha hivi mnajua maana halisi ya hili neno nyivonduma?
Kumbe wewe ndo nanihii nimetambua picha yako tu ..na nyie mna majina mengi ee hili la ukoo??