Kocha
JF-Expert Member
- Mar 2, 2008
- 378
- 155
kwani kuruka ukuta maana yake ni nini?
Kaka kuruka ukuta maana yake kujamiiana kinyume na maumbile siku hizi inaitwa Tigo wanasema kula Tigo,mchezo ambao unapendwa sana kwa sasa hapa Bongo
kwani kuruka ukuta maana yake ni nini?
...mchezo ambao unapendwa sana kwa sasa hapa Bongo
Mtazunguka bucha zote nyama ile ile....!!!
..... mwanamke wa pwani ukimwoa lazima uwe na moyo wa kinabii yaani uwe mwepesi a kusamehe kwasababu vinginevyo unaenda jela kwasababu utamuua kwa vipigo na hasa mtu mwenyewe uwe unatoka ktk kona moja ya nchi yetu pale juuu
nimeshuhudia ndoa zaidi ya mbili zimevunjika kwa suala hilo la wanaume kuwadai wake zao Tigo,kwahiyo hili suala si lazima kuwa na survey ya Kisayansi
..hili suala la tigo ni homa la jji ..wanawake wa ki dar es salaam ..usipojaribu anakuona mshamba..so what inabidi kila mwanamke mpya unayempata inabidi utest zali...ukijifanya umekosea ..ukiona kimya ujue ..uwanja wa nyumbani..
..unajua kwa nini watu wanawaomba wake zao tigo....?,,vijiwe vinaharibu..unaweza kukuta bwana amekaa kwenye pita pita mjini ..bahati mbaya mkewe anapita au watu wanahadidhia bila wao kujua ni mkewe...kuwa mkewe anatoa tigo...mmwanamume akitoka hapo anakuwa na hasira akirudi nyumbani anaenda kudai naye apewe......matokeo yake hata kama kweli mkewe ndio hivo anamkatalia ili kutunza heshima ....ugomvi huwa mkubwa....
nadhani ni vibaya sana kama mwanamke anakuwa na udhaifu huo anashindwa kuomba ushauri wa mumewe ....bila kujua huko anapoenda kufichia aibu anahatarisha maisha yake...
Wanawake wa Pwani wanapotoa Hijabu....