Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,980
- 95,495
Hahaha haki nimechekaaa. Mtuwachee wa mikoani lol
Hahaha haki nimechekaaa. Mtuwachee wa mikoani lol
Hahaha haki nimechekaaa. Mtuwachee wa mikoani lol
Haha nyie teinaaaTehe, teh!, yaani hii kali.
Yaani hapa mwenzio nimewakumbuka ndugu zangu wa Mwanza mitaa ya Kwimba...lol!
Teh ntamsamehe tuNimemuonya bwa Shem, asijeishia hivi akiku bore..teh!
Hahahaaaa! Hebu mumuache kaka yangu huko, ametokelezeaaa!MjaLuo toka Shirati
wapo sayari ya marshapo wanajiona kama wapo ulaya
Mkuu hao wanazaidi ya miaka mitano huko kwahiyo washakuwa wanaume wa darKijana wa Kingoni aliyeko Dar kusaka maisha ATTACH=full]388507[/ATTACH]
Bora tuwe ziro kuliko nyie mnaojipaka poda...na kukaa vijiweni kumdiscus wema na diamond!!naona mkoani ni zero kabisaa
picha zako hazina mashikoBora niwe mikoani tu kuliko vijana Wa dar kama hawa halafu nao wanajisifia wanagombaniana wanaume na dada zaoView attachment 388493View attachment 388494View attachment 388495