Kama ilvyo kwa bianadamu ambaye ni kiumbe asiyetabirika. Hawa nao wanatabia tofauti tofauti kama walivyo wanawake kutoka maeneo mengine. Utakuta wapo wapole, wakorofi n.k
Mimi si mkurya, ila nimeishi nao sana. Ni warembo sana. Si watu wa majungu, wana upendo. Labda wanaotoka kijijini ni tofauti, ila wa hapa Dar most of those that I know are real attractive. Tatizo lao kubwa ni kuwa wanatahiriwa. It is so fun kwani hata wa mjini (marafiki zangu) walikuwa wanatahiriwa then wanafanyiwa bonge la sherehe majirani woote tunaalikwa na siyo siri wala nini tena hapa hapa dar!. Hiyo ilikuwa miaka ya 90 sijuhi kama wamehacha au wameamua kujificha. Ila ili suala la kutahiri si wao peke yao nasikia na wachaga na watu wa dodoma, singida pia wanatahiri mabinti. Sasa sijuhi baada ya kutahiriwa performance zao in bed zinakuwaje maana I doubt kama wanaenjoy.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.