Bajeti ya kunguru
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,371
- 1,041
Nilijua umetupia kapicha hata kamojaš
MAGUFULI4LIFE.
MAGUFULI4LIFE.
weupe na vishepu vizuri ila miguu yao sasaAliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.
Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.
Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Ni kipi hapo hujaelewa mjinga mkubwaMkuu wewe ni mfanyakazi ??!! Hata R na L huwezi tofautisha
Mbona jazba sasa?Ni kipi hapo hujaelewa mjinga mkubwa
Hivi hao wanapatikana wapi?maana nimekaa Babati kikazi week nzima ila sijawaona.weupe na vishepu vizuri ila miguu yao sasa
Vizuri sana, tuletee shemeji asiyeringa, wanasema "kizuri...??"Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.
Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.
Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Ni mapenzi ndio yako Tanga sio uzuri.Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.
Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.
Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Usisahau pia ni wakarimu balaaa hawajui kukataaAliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.
Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.
Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .