Wanawake wanadai Wanaume wana tamaa na hawapendi...
Na ndio kitu cha kwanza wanachojiuliza pindi tu akitongozwa...
Kwa wanaume hili imekaa vingne,..
Kwasababu Hatuwezi kupenda bila kutamani kwanza, lazima tuvutiwe na wewe ndio tukupende,
kwahyo, wanawake muelewe hilo, kabla ya kupendwa lazima utamaniwe...
Na ndio kitu cha kwanza wanachojiuliza pindi tu akitongozwa...
Kwa wanaume hili imekaa vingne,..
Kwasababu Hatuwezi kupenda bila kutamani kwanza, lazima tuvutiwe na wewe ndio tukupende,
kwahyo, wanawake muelewe hilo, kabla ya kupendwa lazima utamaniwe...