Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,513
Husika na kichwa cha habari ..
Ninavyoandika hapa kuna mwanamke anapitia changamoto baada ya mumewe kusimamishwa kazi...
Anadai mumewe amekuwa mkali sana yaani kidogo tu anakasirika...
Amekuwa na wivu sio wa nji hii yaani hataki mkewe atoke na rafiki zake...
Amekuwa mlevi Ile hatari yaani ni mitungi yeye na mitungi mtu...
Mkewe anadai kuwa mumewe alikuwa hataki afanya kazi hapo nyuma...
Yaani alimuachisha kazi akawa mama wa nyumbani yaani goli kipa...
Sasa kimeumana, mumewe hana kazi na Wala hawana chanzo chochote cha pesa...
Imefika mwaka Sasa hamna kazi wamekopa na kukopa...
Sasa tumshauri huyu bidada, maana naona kama anadata...
Najua Kuna waliopitia haya wapo hapa watamshauri bidada.
Ninavyoandika hapa kuna mwanamke anapitia changamoto baada ya mumewe kusimamishwa kazi...
Anadai mumewe amekuwa mkali sana yaani kidogo tu anakasirika...
Amekuwa na wivu sio wa nji hii yaani hataki mkewe atoke na rafiki zake...
Amekuwa mlevi Ile hatari yaani ni mitungi yeye na mitungi mtu...
Mkewe anadai kuwa mumewe alikuwa hataki afanya kazi hapo nyuma...
Yaani alimuachisha kazi akawa mama wa nyumbani yaani goli kipa...
Sasa kimeumana, mumewe hana kazi na Wala hawana chanzo chochote cha pesa...
Imefika mwaka Sasa hamna kazi wamekopa na kukopa...
Sasa tumshauri huyu bidada, maana naona kama anadata...
Najua Kuna waliopitia haya wapo hapa watamshauri bidada.