Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
[h=3]Wanawake nao...[/h]
Wanaume hukatishwa tamaa na wanawake kwa kuwa wanawake hawapendi sex na wanawake hukatishwa tamaa sana na wanaume kwa kuwa wanaume kila mara wanachotaka ni sex.
Wanawake hulaumu sana wanaume kwa kuwa hawajui kupenda (love) ni kitu gani.
Na wanaume huwalaumu sana wanawake kwa kuwa hupenda kuongelea sana upendo (love) lakini hawataki kufanyia kazi (vitendo