Wanawake nao...

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
[h=3]Wanawake nao...[/h]

Wanaume hukatishwa tamaa na wanawake kwa kuwa wanawake hawapendi sex na wanawake hukatishwa tamaa sana na wanaume kwa kuwa wanaume kila mara wanachotaka ni sex.
Wanawake hulaumu sana wanaume kwa kuwa hawajui kupenda (love) ni kitu gani.
Na wanaume huwalaumu sana wanawake kwa kuwa hupenda kuongelea sana upendo (love) lakini hawataki kufanyia kazi (vitendo
 
mh ayo majan yamelala fresh..itakuwa yamechoshwa na mme wake kutaka njunji daillll:pound:
 
ni kweli mpendwa mi nimeachana na mpenzi wangu mana nilikataa kusex nae.hv mtu kama unampenda unaeza kumuacha kweli?
 
kuna wanawake wanapenda njunji kuliko wanaume....24/7 anataka njunji...kama hujiwezi waweza omba pooo.
 
Mwaya mie niliedhani mtarajiwa alikuwa hadi wakati wa kazi ati nikamchuke mjini twende pale mivinjeni nikamwambia aku nchezo gani hiyo nikaanza yaani jiulize ntu kama huy ukimwacha yuko nanani wapendwa??
 
mh ayo majan yamelala fresh..itakuwa yamechoshwa na mme wake kutaka njunji daillll:pound:
HUYU PIDY NI MKE AU MME???
1.Mwanamme ukiweka mazingira ambayo mwanamke mwenyewe atataka MECHI kunakuwa hakuna tatizo.
2.Ubinafsi na kukomoana husababisha tatizo hili
3.Wivu wa kijinga nao husababisha hali hiyo.....ngoja nimchoshe asiende kuiba,UNAJIDANGANYA......UTAMCHOSHA NA ATAIBA AKIAMUA.
WIVU UNAOPITILIZA NA UBIAFSI HAUFAI.
 
Kiukweli hili swala ni gumu kusex yategemeana na hulka ya m2 coz wanawake wengine humpenda mwanaume kwa ajili ya sex only kila akimuona hana wazo zaidi ya ngono. sometims ina boa kwa demu kupenda mtungo sana.
 
umeona chavkaaaaaaaa

kweli yamekukuta si mchezo tumwagie data
 
Back
Top Bottom