Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 196
simu shingoni inawezekana nyumbani, sasa hapa Bongo kwetu na vibaka wotee hawa mtaani tutoke tumevaa simu shingoni? siku moja si tutarudi nyumbani bila simu wajameni??, na pengine turudi bila shingo kabisa...
Unaweka shingoni,ukiwa nyumbani,sio kariakoo...ukijaribu kariakoo na manzese utakufa siku si zako..
Mbinu nyingine ambayo si salama sana,ni kuweka simu kwenye blazia au skintight/ch*P*...hapo ikilia utaipata tu.
Otherwise tabia hii ni kero sana...na ukitaka kujua ni kero we mama mpigie mmeo asipokee..na una issue ya msingi. utapima ni namna gani inakera.