Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
JF napata experience na wife yaani simu ya mkononi mara nyingi iko chumbani, ndani ya begi, etc? huwezi kumpata on time hata kama issue ni very urgent lazima upige kama mara tatu na kuendelea...??
Do you experience the same kwa wake/girlfriends wenu na unashauri nini kifanyika?? inaboa sana hii.
Do you experience the same kwa wake/girlfriends wenu na unashauri nini kifanyika?? inaboa sana hii.