AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
I like this, in a while.:bange: :bange: Karibu tupate Lunch basi
I never refuse lunch especially kama ni buffet....
I like this, in a while.:bange: :bange: Karibu tupate Lunch basi
Lizzt! Hapo ndio mnapo niBOA,
Hahahahhah.....kwanini???
Lizzy mweleze ukweli usimwachie, amesahau kabisa wao wanavyograde ....
Lizzy mweleze ukweli usimwachie, amesahau kabisa wao wanavyograde ....
wewe mwanamke,
mnaongelea nini hapa?
hebu nijuze, nisije kuwa nimepotea njia!!!!!!
Yeyote anaeweza kupewa jukumu la kua baba!
I never refuse lunch especially kama ni buffet....
Na yeyote pia anaweza kupewa jukumu la kuwa mama. Mama matesha anamlea binti wangu wa kufikia, wala binti hajui kama ni mama yake.
Kama kigezo ni MAJUKUMU basi Shangazi, bibi, binamu et el anaweza kuwa sawa na mama.
Narudia tena, ukiondoa majukumu...Kama hakuna kama mama, Je kuna aliye kama baba?
Nasubiri majibu yako Lizzy
Msimamo wa babu ni huu, Kwa jinsi ilivyo HAKUNA kama Mama, ndivyo ilivyo HAKUNA kama baba.
There is no free lunch.....kumbuka kumuuliza Elia utamlipa vipi!:evil:
Babu bwana.....
Haya nisikilize mjukuu wako nilichojifunza nlipokua naenda shule!!
Nafasi ya baba inaweza kuchukuliwa na yeyote akaitendea haki kisawa sawa.Kwanzia mpenzi kwa mtoto....kujali...kumfundisha na mengineyo.
Ila mama nafasi yake haiwezi kuchukuliwa kwa asilimia 100 hata siku moja!!Shur anamlea na inawezekana anampenda ila sivyo ambavyo angempenda wakwake au binti angependwa na wakwake!!!
Natumaini ile pesa ya ada uliyochangia haikupotea bure!!!:third:
Siamini macho yangu kk leo umeona thamani yetu.
Hahahahhah.....kwanini???
There is no free lunch.....kumbuka kumuuliza Elia utamlipa vipi!:evil: