KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
Na imani kila binadamu anaudhaifu ili likowazi nasisi wanaume ndiyo wakwanza kuwakwaza wanawake na mara nyingi mumekuwa mkiona nimakosa yakibinadamu na kulichukulia kawaida japo laweza kuwa kubwa!huwa hamjali ukubwa oila sisi mkitukosea sisi wanaume maranyingi sisi uona mumefanya kosa kubwa sisi huwa uvumilivu unakuwa mdago,na saa nyingine tunakuwa na maamzi yasiyozingatia nikosa gani mwanamke kafanya!Lakini yote huyasahau na kuendelea na upendo kwetu!!Wanawake mmejaliwa!!Nani kama mama??