pauline
JF-Expert Member
- Dec 26, 2010
- 650
- 140
- Thread starter
- #21
Yeye kuna kazi ni mvivu kufanya lakini kuna kazi anafanya na ambazo mimi siwezi kufanya. Hiyo ya kufua nimeshajipangia ni kazi yangu. Kwa mfano ananishave wakati mimi siwezi kumfanyia the same!
mnh kwani kimada na nyumba kubwa ni mtu mmoja?