Wanawake na hofu ya kusaidiwa na nyumba ndogo

Yeye kuna kazi ni mvivu kufanya lakini kuna kazi anafanya na ambazo mimi siwezi kufanya. Hiyo ya kufua nimeshajipangia ni kazi yangu. Kwa mfano ananishave wakati mimi siwezi kumfanyia the same!

mnh kwani kimada na nyumba kubwa ni mtu mmoja?
 
Kwa kweli ni ngumu ila inabidi wakati mwingine umfanyie kumwonyesha upendo tu, na wakati mwingine anafanya na yeye pia, ila kuhusu pichu huwa zinatia uvivu kama unaweza unanunua washing machie ili urahisishe kazi bana
 
nimegundua hili ni tatizo la wanawake wengi,wanakuwa kwenye mahusiano kimachale machale saa yoyote mumewe anaweza kuwa na nyumba ndogo.....hofu hii imepelekea kuwafanya kuwa watumwa wa ndoa zao,atajitahidi amtreat mumewe kama mfalme/bossi lol,atamfulia,atamnyooshea nguo,atajitahidi awe anaamka mapema amtengenezee chai.........akihofia asipofanya haya mumewe ataenda nyumba ndogo.............................wakina kaka kuweni rensponsible kidogo...chochote unachoona kiko kny uwezo wako kifanye!!!.........................usitafute kisingizio cha kuwa lazy ili uvunje nyumba yako.............ukimwi unaua,sijui niko too westernized ila bado sijamfulia na kunyooshea mtu mzima nguo:smash::smash::smash: hata kupika nitajitahidi kumshirikisha na yeye alternative days...lol
With time utajua kuwa huyo unayeishi naye ni mume au mwanaume wa kukuridhisha kimwili, only then will you know whether ur altitude is right or wrong.
 
ukiingia jf kila siku unaweza usioe au kuolewa

ndoa humu zoinaonekana nguuumu mno
Watu siku zote huwa nawaambia matatizo kwenye ndoa yanatofautiana mtu akiishasikia fulani ana tatizo kwenye ndoa yake basi unaanza kusikia anasema "Kama ndio hivyo mimi kuolewa sitaki kusikia" watu hawataki kujifunza wanataka mambo easy na mteremko ndoa sio gereza kama ukijua ni nini unapaswa kufanya kwenye ndoa yako basi hautaanza kuwa na wasiwasi kuoa/kuolewa cha msingi ni kumuomba Mungu tu lolote litakalotokea mbele yako kabiliana nalo na mshirikishe Mungu kwenye kila jambo mkiwa kama wanandoa.
 
nimegundua hili ni tatizo la wanawake wengi,wanakuwa kwenye mahusiano kimachale machale saa yoyote mumewe anaweza kuwa na nyumba ndogo.....hofu hii imepelekea kuwafanya kuwa watumwa wa ndoa zao,atajitahidi amtreat mumewe kama mfalme/bossi lol,atamfulia,atamnyooshea nguo,atajitahidi awe anaamka mapema amtengenezee chai.........akihofia asipofanya haya mumewe ataenda nyumba ndogo.............................wakina kaka kuweni rensponsible kidogo...chochote unachoona kiko kny uwezo wako kifanye!!!.........................usitafute kisingizio cha kuwa lazy ili uvunje nyumba yako.............ukimwi unaua,sijui niko too westernized ila bado sijamfulia na kunyooshea mtu mzima nguo:smash::smash::smash: hata kupika nitajitahidi kumshirikisha na yeye alternative days...lol

.........................Paulune ni kweli usemayo lakini wengi tunasahau kuwa ndoa hujengwa na upendo, heshima na trust. Kumpenda, kumheshimu na kumtrust si utumwa hata kidogo. Wengi tunasahau kuwa kama ni wa kucheat atacheat tu hata ukiwa unambeba mgongoni kila siku........but kuna sababu zinazomsaidia kuongeza hamu yake ya kucheat..ukimpatia hizo sababu ah nyumba ndogo unaikaribisha mwenyewe.

Mumeo ukimpenda..........utamfulia kwa kuwa unampenda na si kwa kuwa u mtumwa au unaogopa nyumba ndogo!
Utamnyooshea kwa kuwa unampenda na usingependa asiwe smart huko barabarani, maofisini na mtaani kwa ujumla
Ukimpenda mumeo hutoona karaha kumfanyia kile ambacho unahisi unajisikia kumfanyia.

lakini kubwa zaidi ni kwa wewe kumtrust na kujijengea kujiamini kwa kuwa unajijua kuwa unaplay role yako kama mke mwema na bora bila kusahau kumkabidhi kwa sala kila siku iitwayo leo.
 
Mume wangu ni smart sana, kwa hiyo sijawahi kumyooshea nguo kwani anaona yeye hiyo kazi anaiweza zaidi. Lakini kufua nafua. Tuna washing machine nguo zinafuliwa na machine. boxers zake nafua kwa mikono yangu na wala sioni kama ni kuonewa kwa kuwa NAMPENDA kupita maelezo!

Inategemea uko kwenye stage gani ya ndoa. Kwani nakumbuka nilipoolewa nilienda kwa wakwe zangu. Wakati nimekaa nje nafua mume wangu akaja kunisaidia imagine mbele ya mama na bibi yake! Bibi akasema unabahati umepata mume anayekujali.

But with time aliacha kufua na mimi mwenyewe nguo zangu na zake nafua kwa nadra sana kwani tuna H/girl na machine. Ila chupi namfulia na nitaendelea kufanya hivyo.

Hivi kwa Tz kuna kazi gani mpaka mtu utake mume nae akusaidie. Kwa sababu unaweza kuwa na mahouse girl hata wawili sasa sioni kwa nini umpigishe deki mtoto wa mwenzio.

Hao wanaokaa ulaya waache wasaidiane kwani najua mziki wa kuishi nje hamna cha housegirl kwa hiyo msaada ni muhimu.
Samahani dada,kwani boxers na chupi hazifuliwi na mashine?...au mapenzi?
 
.........................Paulune ni kweli usemayo lakini wengi tunasahau kuwa ndoa hujengwa na upendo, heshima na trust. Kumpenda, kumheshimu na kumtrust si utumwa hata kidogo. Wengi tunasahau kuwa kama ni wa kucheat atacheat tu hata ukiwa unambeba mgongoni kila siku........but kuna sababu zinazomsaidia kuongeza hamu yake ya kucheat..ukimpatia hizo sababu ah nyumba ndogo unaikaribisha mwenyewe.Mumeo ukimpenda..........utamfulia kwa kuwa unampenda na si kwa kuwa u mtumwa au unaogopa nyumba ndogo!Utamnyooshea kwa kuwa unampenda na usingependa asiwe smart huko barabarani, maofisini na mtaani kwa ujumlaUkimpenda mumeo hutoona karaha kumfanyia kile ambacho unahisi unajisikia kumfanyia.lakini kubwa zaidi ni kwa wewe kumtrust na kujijengea kujiamini kwa kuwa unajijua kuwa unaplay role yako kama mke mwema na bora bila kusahau kumkabidhi kwa sala kila siku iitwayo leo.
Kwa kweli mwanajamiione nakupongeza sana kwa ujumbe mzuri na wenye kujenga. Kwa wanawake wote walio ktk maisha ya ndoa na wenye kujua maana ya familia ujumbe huu ni ufunuo kwenu. Mmeelezwa vizuri ipasavyo kuenenda kimwili na kiroho. God Bless you Mwanajamiione
 
Mi sioni shida kumuhudumia atakaekuwa mume wangu, ili mradi ananipenda na kunithamini, ananitunza tunatunzana, tena nitamfanyia kwa moyo mmoja kama navoona wakubwa zangu wameolewa na wanawafanyia waume zao kama maagizo yanavosema......mwanaume abaki kuwa mwanaume tu, na sitafanya haya kwa hofu ya kuibiwa mume bali kwa mapenzi ya dhati nitakayokuw nayo kwake
 
Pauline hujapata bado mtu unayempenda kwa dhati acha kufua,kupika na kumpigia pasi utafanya vitu hata hujawaza maishani lol! Mimi kuna msichana alinipenda alikuwa anakuja kwangu na kufanya vyote hivyo na kuninunulia nguo,viatu perfumes hadi chupi hahaha!

Uporoto,
Akakufanyia hayo yote halfu ukamuacha...mhhhh!!!

Mzima lakini wewe? Nakutakia weekend njema!
 
Mi sioni shida kumuhudumia atakaekuwa mume wangu, ili mradi ananipenda na kunithamini, ananitunza tunatunzana, tena nitamfanyia kwa moyo mmoja kama navoona wakubwa zangu wameolewa na wanawafanyia waume zao kama maagizo yanavosema......mwanaume abaki kuwa mwanaume tu, na sitafanya haya kwa hofu ya kuibiwa mume bali kwa mapenzi ya dhati nitakayokuw nayo kwake
Good point sister,
Nakumbuka nilipotoka chuo mwaka wa kwanza,marehem mzee wangu alikuwa anaona aibu kuniomba nimfulie nguo zake
Ingawa utotoni nilikuwa namuona mkoloni,I grew up and got the point.
Nilikuwa namwambia mama anitolee nguo zake,he really respected that and I felt blessed.
Thanx for reminding me,nimewahi kumfulia nguo mtu mzima na sometimes namwoshea mke wangu nguo zake,as long as she is there and the cycle is not full.
 
Mume wangu ni smart sana, kwa hiyo sijawahi kumyooshea nguo kwani anaona yeye hiyo kazi anaiweza zaidi. Lakini kufua nafua. Tuna washing machine nguo zinafuliwa na machine. boxers zake nafua kwa mikono yangu na wala sioni kama ni kuonewa kwa kuwa NAMPENDA kupita maelezo!

Inategemea uko kwenye stage gani ya ndoa. Kwani nakumbuka nilipoolewa nilienda kwa wakwe zangu. Wakati nimekaa nje nafua mume wangu akaja kunisaidia imagine mbele ya mama na bibi yake! Bibi akasema unabahati umepata mume anayekujali.

But with time aliacha kufua na mimi mwenyewe nguo zangu na zake nafua kwa nadra sana kwani tuna H/girl na machine. Ila chupi namfulia na nitaendelea kufanya hivyo.

Hivi kwa Tz kuna kazi gani mpaka mtu utake mume nae akusaidie. Kwa sababu unaweza kuwa na mahouse girl hata wawili sasa sioni kwa nini umpigishe deki mtoto wa mwenzio.

Hao wanaokaa ulaya waache wasaidiane kwani najua mziki wa kuishi nje hamna cha housegirl kwa hiyo msaada ni muhimu.

Haya ni mawazo pevu, mawazo ya kikubwa, nakushukuru sana. Mazingira ya west na hapa kwetu tofauti kabisa. West mama hana nafasi ya kufanya kazi za nyumbani amebanwa kama alivyobanwa baba, kwa hiyo kusaidiana ktk kazi ndogondogo ya home ni sawa. Hapa kwetu hatujabanwa kihivyo, sisemi eti baba asifue, mbona tunafua jamani. westernization tusipoangalia itatufikisha pabaya.
 
nimegundua hili ni tatizo la wanawake wengi,wanakuwa kwenye mahusiano kimachale machale saa yoyote mumewe anaweza kuwa na nyumba ndogo.....hofu hii imepelekea kuwafanya kuwa watumwa wa ndoa zao,atajitahidi amtreat mumewe kama mfalme/bossi lol,atamfulia,atamnyooshea nguo,atajitahidi awe anaamka mapema amtengenezee chai.........akihofia asipofanya haya mumewe ataenda nyumba ndogo.............................wakina kaka kuweni rensponsible kidogo...chochote unachoona kiko kny uwezo wako kifanye!!!.........................usitafute kisingizio cha kuwa lazy ili uvunje nyumba yako.............ukimwi unaua,sijui niko too westernized ila bado sijamfulia na kunyooshea mtu mzima nguo:smash::smash::smash: hata kupika nitajitahidi kumshirikisha na yeye alternative days...lol

Wewe ni mpotoshaji, kama umekosa mtu wa kukuoa au kama umeamua kuwa single usiwavurugie wenye ndoa zao, yaani wanaopendana. Haya mawazo pauline, yanafanana na ya 'LESBIANS'. Labda na wewe ni LESBIAN. LESBIANS hawataki kusikia mahusiano kati ya mwanamke na mwanaume, watatoa hoja zao nyingi zinafanana na za kwako. Sisi ni wanaume wake zetu wanatufulia na sisi tunawafulia mara moja moja si mara nyingi sana kama wao wanavyotufanyia.
 
nimegundua hili ni tatizo la wanawake wengi,wanakuwa kwenye mahusiano kimachale machale saa yoyote mumewe anaweza kuwa na nyumba ndogo.....hofu hii imepelekea kuwafanya kuwa watumwa wa ndoa zao,atajitahidi amtreat mumewe kama mfalme/bossi lol,atamfulia,atamnyooshea nguo,atajitahidi awe anaamka mapema amtengenezee chai.........akihofia asipofanya haya mumewe ataenda nyumba ndogo.............................wakina kaka kuweni rensponsible kidogo...chochote unachoona kiko kny uwezo wako kifanye!!!.........................usitafute kisingizio cha kuwa lazy ili uvunje nyumba yako.............ukimwi unaua,sijui niko too westernized ila bado sijamfulia na kunyooshea mtu mzima nguo:smash::smash::smash: hata kupika nitajitahidi kumshirikisha na yeye alternative days...lol
Na naomba ucthubutu kuolewa na mtanzania. Utanipa hasira...
 
Hutakiwi kufua nguo,kumnyooshea nk kwa hofu ya kusaidiwa na nyumba ndogo ila inatakiwa ufanye toka moyoni mwako.
wapo kinadada wanapenda kweli na wala hawahitaji kuombwa kufanya yote hayo na pia inategemea na imani yako kwani wapo wasichana wanaoamini kuwa mwanaume anatakiwa kufuliwa nguo zote,kunyooshewa kupikiwa nk.ukitaka kumsaidia anaona kama unataka kwenda kinyume na utaratibu na anaweza kuwa hata mkali ukitaka kulazimisha.
sasa wapo wasichana wa aina yako Pauline ambao ukimfanyia hayo mumeo waona ni kama favour tu na sio lazima ufanye.
aina yako siitaki itanipasua kichwa tu...ukimpata msichana alie na attitude kama ya Lizzy umeula.
bottom line,wapo wanaume wanaopenda kufanya kazi za ndani na wapo wasiotaka hata kusikia.so,ukilamba garasa pole zako.
 
.........................Paulune ni kweli usemayo lakini wengi tunasahau kuwa ndoa hujengwa na upendo, heshima na trust. Kumpenda, kumheshimu na kumtrust si utumwa hata kidogo. Wengi tunasahau kuwa kama ni wa kucheat atacheat tu hata ukiwa unambeba mgongoni kila siku........but kuna sababu zinazomsaidia kuongeza hamu yake ya kucheat..ukimpatia hizo sababu ah nyumba ndogo unaikaribisha mwenyewe.

Mumeo ukimpenda..........utamfulia kwa kuwa unampenda na si kwa kuwa u mtumwa au unaogopa nyumba ndogo!
Utamnyooshea kwa kuwa unampenda na usingependa asiwe smart huko barabarani, maofisini na mtaani kwa ujumla
Ukimpenda mumeo hutoona karaha kumfanyia kile ambacho unahisi unajisikia kumfanyia.

lakini kubwa zaidi ni kwa wewe kumtrust na kujijengea kujiamini kwa kuwa unajijua kuwa unaplay role yako kama mke mwema na bora bila kusahau kumkabidhi kwa sala kila siku iitwayo leo.

hapo nilipobold mwanajamii huoni na wewe umeingia kny huu mtego wa kuwa mtumwa kwa kuogopa nyumba ndogo?sijakataa usimfulie mumeo ninachopinga in return mbona mume hajishughulisha na yeye kukufulia siku moja moja???hayo mapenzi mapenzi gani ya upande mmoja???kwani yeye ndio hapendi akuone unavutia mitaani?mbona asijishughulishe????mie ningependa kuconduct survey kuona wanaume wenye nyumba ndogo kama hawafuliwi na kunyooshewa nyumnbani?lol:lol:
 
Wewe ni mpotoshaji, kama umekosa mtu wa kukuoa au kama umeamua kuwa single usiwavurugie wenye ndoa zao, yaani wanaopendana. Haya mawazo pauline, yanafanana na ya 'LESBIANS'. Labda na wewe ni LESBIAN. LESBIANS hawataki kusikia mahusiano kati ya mwanamke na mwanaume, watatoa hoja zao nyingi zinafanana na za kwako. Sisi ni wanaume wake zetu wanatufulia na sisi tunawafulia mara moja moja si mara nyingi sana kama wao wanavyotufanyia.

i think nyie mnaotaka tuamini,ndoa ni mume kuwa kama mfalme na kutunzwa kama mtoto na sio kutunzana wote mke na mume ndio wapotoshaji wakubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom