Kusema kweli japo kuwa sio wote lakini asilimia kubwa wanawake bado mmeshindwa kutambua kuwa dunia ya utegemezi imeishapitwa na wakati ni ukweli usifichika wanawake mmezidi kuomba omba pesa wengi wenu saa hizi mmelala kusubiri jioni bwana arudi akutoe ou hadi lini?? kwanini isifike mahari tukwa tunashare BILL??:embarassed2::embarassed2: