ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,557
Wanawake na sisi tuache kugawa uroda kwa kila mtu, tuwachunguze kwanza
walipata darasa kidogo ndio wanawezafanya hvyo sio la saba C
Wanawake na sisi tuache kugawa uroda kwa kila mtu, tuwachunguze kwanza
Basi mnauwezo wa kumwambia atumie zana ila tatizo mkisha lala kwenye 6/6 mnakuwa kama mmelogwa mnaishiwa nguvu hata kukataa hamuwezi
Kudadadeki Duh! Yaani ningemwona huyo mwanamke ningemtandika viboko 6 hadi nane vya nguvu
wanaume tuache kuwapa mimba na kuwakimbia