Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,467
- 23,762
Yaani mtu analalamika kuwa sijamfikisha. Namuuliza yeye ameshiriki vipi kunifikisha anajibu oooh.... Huoni navyokata kiuno.
Nikasema isiwe kesi. Safari hii hakuna kukata kiuno. Inama mbuzi kagoma egamia mto lala. Then tuone kama nitafika au sitafika kileleni.
Akafanya hivyo nimefika bila shida yoyote. Sasa nashangaa yeye anaanzaje kunilaumu kuwa sijamfikisha wakati kumbe jukumu la kufika huko ni la mtu binafsi.
Nimelipia room, nimemnunulia chakula, nimemlipia Uber na anataka tena aridhike. Yeye atakuwa amefanya nini sasa? Si naye ajiridhishe kama ninavyojiridhisha kwake.
Huo ni ujinga kila mtu afanye majukumu yake kwa nafasi yake. Tusipeane majukumu yasiyotuhusu. Na pia mzigo usituelemee sana sisi wanaume mpaka tujute sasa. Mkiendelea hivi wanaume wengi wataamua kujichukulia sheria mkononi.
Nikasema isiwe kesi. Safari hii hakuna kukata kiuno. Inama mbuzi kagoma egamia mto lala. Then tuone kama nitafika au sitafika kileleni.
Akafanya hivyo nimefika bila shida yoyote. Sasa nashangaa yeye anaanzaje kunilaumu kuwa sijamfikisha wakati kumbe jukumu la kufika huko ni la mtu binafsi.
Nimelipia room, nimemnunulia chakula, nimemlipia Uber na anataka tena aridhike. Yeye atakuwa amefanya nini sasa? Si naye ajiridhishe kama ninavyojiridhisha kwake.
Huo ni ujinga kila mtu afanye majukumu yake kwa nafasi yake. Tusipeane majukumu yasiyotuhusu. Na pia mzigo usituelemee sana sisi wanaume mpaka tujute sasa. Mkiendelea hivi wanaume wengi wataamua kujichukulia sheria mkononi.