oh oh mama haya,usije pigwa bani na jamaa dili likawa dirisha.
kwa msimamo huu kina mama mtaharibu market ya hii biashara yetu mpya. mkikosa hela mimi naomba msinipige virungu kwasababu uchumi mnao lakini mnauvalia sidiria tu
heheh dah! no komentikwa upango huu, hawachelewi kuanzisha "ufugaji wa akina mama kwa ajili ya maziwa ya icecream"...lol