Wanawake mlioolewa Morning Glory Muhimu

Wakaka na nyinyi masuala ya usafi wa mwili yanahusu, unaomba morning glory wakati jana ulipiga mtungi umerudi nyumbani hukukumbuka mswaki wa mouth wash. Kwa wale wanaojua harufu ya pombe asubuhi kabla kinywa hakija fanyiwa maarifa.

Bora umewaeleza. Aise inakera.
 
nahisi ni kweli, kwa sehemu inasaidia sana kwa wanaume hasa walio ktk ndoa. enyi wake wapeni waume zenu stahili hii angalau waende majukumuni jogoo akiwa kashiba kupunguza uwezekano WA kuchepuka mida Fulani.
 
sawa tutalizingatia hilo


ILA SASA NGUVU ZENYEWE SIKU HIZI ZA KUOKOTEZA mara karanga,mihogo,supu ya pweza unalichaji dushe ukipiga kimoja chaji imeisha

ila sio isssueTUTALALA BILA CHUPPI

We hao unawatoaga wapi mara nyingi hzo ndo coment zako, basi pole kuna wenzako hawajuti. Halafu % kubwa ya vyakula vya mijini co vzr kwa afya hasa za wanaume ukilinganisha na vijijini ambako wanakula vyakula vya asili km wali nazi, mboga iliyoungwa karanga au nazi hivyo ni wajibu wako mwanamke kumtengenezea mumeo chakula cha kujenga afya yake maana kimaimbile tumetofautiana na mwanaume anatumia energy nyingi sn ktk tendo moja co unamimina mafuta tu jikoni. Hata wataalam wa afya wanashauri wanaume wasipendelee kula baadhi ya vyakula au vilevi kwani vinamadhala kwenye afya zao mf. Mirungi, nk ss km unamlisha mmeo mikuku ya kisasa unategemea nn? ndo maana vijijin zaman wazee walikua wanaoa wanawake hata watatu na hawajuti. Utandawazi na special foods zimetuweza hapa. Mpikie mmeo chakula kizuri perfomance yake itarudi na utashangaa hv ni yeye au mwingine. Watu wengi wanafikiri kula vizuri ni kula hayo mazaga zaga cjui mann. Nenda kijijini ukutane na mkulima anaekula ugali na kisamvu tu af mpe gemu uone. Au ukutane na mmang'ati au Mhazabe wamezoea kula asali na wadudu tu. 90% ya wanaume cku hz wanatumia hvyo vtu unavosema km mihogo au pweza au karanga au redbul au supu au wengine baadhi ya vilevi. Yote hiyo ni kujaribi kujenga afya zao kwakua wanajua msosi ni tatizo, hata utakao wasifia lazima watakua wanatumia moja ya hvo virutubisho na km hatumii basi atakua anakula vzr. Co nguvu tu, diet mbovu inaweza kuleta tatizo la kisukari au pressure kati yenu. Solition, Mpikie vizuri mumeo co unawaachia mabeki tatu afu unakuja kulalamika hapa.
 
Ha ha ha kumbe na wewe umeliona hilo...
Kutwa humu unasikia karanga...supu ya pweza ...now mbegu za mlonge...afu morning glory si contradiction ni nini...?

Watu mpaka wanakuja na uzi 'mke wangu hatosheki' na anawapata wa kumshauri against mkewe...afu morning glory mmmmnnnhhh...akati mwingine wake zenu wanawahurumia msije wafia vifuani...

sawa tutalizingatia hilo


ILA SASA NGUVU ZENYEWE SIKU HIZI ZA KUOKOTEZA mara karanga,mihogo,supu ya pweza unalichaji dushe ukipiga kimoja chaji imeisha

ila sio isssueTUTALALA BILA CHUPPI
 
We hao unawatoaga wapi mara nyingi hzo ndo coment zako, basi pole kuna wenzako hawajuti. Halafu % kubwa ya vyakula vya mijini co vzr kwa afya hasa za wanaume ukilinganisha na vijijini ambako wanakula vyakula vya asili km wali nazi, mboga iliyoungwa karanga au nazi hivyo ni wajibu wako mwanamke kumtengenezea mumeo chakula cha kujenga afya yake maana kimaimbile tumetofautiana na mwanaume anatumia energy nyingi sn ktk tendo moja co unamimina mafuta tu jikoni. Hata wataalam wa afya wanashauri wanaume wasipendelee kula baadhi ya vyakula au vilevi kwani vinamadhala kwenye afya zao mf. Mirungi, nk ss km unamlisha mmeo mikuku ya kisasa unategemea nn? ndo maana vijijin zaman wazee walikua wanaoa wanawake hata watatu na hawajuti. Utandawazi na special foods zimetuweza hapa. Mpikie mmeo chakula kizuri perfomance yake itarudi na utashangaa hv ni yeye au mwingine. Watu wengi wanafikiri kula vizuri ni kula hayo mazaga zaga cjui mann. Nenda kijijini ukutane na mkulima anaekula ugali na kisamvu tu af mpe gemu uone. Au ukutane na mmang'ati au Mhazabe wamezoea kula asali na wadudu tu. 90% ya wanaume cku hz wanatumia hvyo vtu unavosema km mihogo au pweza au karanga au redbul au supu au wengine baadhi ya vilevi. Yote hiyo ni kujaribi kujenga afya zao kwakua wanajua msosi ni tatizo, hata utakao wasifia lazima watakua wanatumia moja ya hvo virutubisho na km hatumii basi atakua anakula vzr. Co nguvu tu, diet mbovu inaweza kuleta tatizo la kisukari au pressure kati yenu. Solition, Mpikie vizuri mumeo co unawaachia mabeki tatu afu unakuja kulalamika hapa.

sina mume.
una jingine??
 
Ha ha ha kumbe na wewe umeliona hilo...
Kutwa humu unasikia karanga...supu ya pweza ...now mbegu za mlonge...afu morning glory si contradiction ni nini...?

Watu mpaka wanakuja na uzi 'mke wangu hatosheki' na anawapata wa kumshauri against mkewe...afu morning glory mmmmnnnhhh...akati mwingine wake zenu wanawahurumia msije wafia vifuani...

bora na wewe useme ukiangalia nyuzi za Nguvu za kiume ni nyingi na haipiti wiki unawekwa mwingine
alafu morning glory .....morning glory kwa kiepe na novida
Mtafia sana juu ya papuchi
 
Unamchoka kila siku.mlio oa mtaeleza ukweli tena sometimes unawaza mchepuko tu.kwenye ndo inafikia kipindi mnaishi kwa mazoea tu.
 
hakuna kitu nachukia kama kuamshwa asubuhi wakati usingizi ndio unanoga pale.
Nanunaga ni balaa, ila utasumbuliwa hadi usingizi unakata inabidi umpe tu ili kutimiza wajibu kwa kweli.
'hakuna kitu sipendi kama kuamshwa nikiwa nimelala'
cc Asprin
 
Last edited by a moderator:
hakuna kitu nachukia kama kuamshwa asubuhi wakati usingizi ndio unanoga pale.
Nanunaga ni balaa, ila utasumbuliwa hadi usingizi unakata inabidi umpe tu ili kutimiza wajibu kwa kweli.
'hakuna kitu sipendi kama kuamshwa nikiwa nimelala'
cc Asprin

anakuamsha alafu anataka blowjob
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom