Wanawake Kwa Hili Mnakera

Hivi una uhakika huyu dada uliyemwandika hapa na yote yaliyotokea sio member humu JF. Je kama ni member halafu agundue what you discussed in private is now made public si atakudharau mpaka basi?

Nina wasiwasi hii ni story ya kutungwa.

Tiba
 
Have u also considered the fact that, alikataa men too much na muda unaenda na sasa hakuna wanaume walioko serious wanamfuata na akaomba ushauri akaambiwa ana masharti sana apunguze(aache kubanabana-as they may say). She used to see u na akakupenda sana but u never said a word to her? She goes to work everyday akihope utamsemesha japo salamu lakini hakuna kitu.
Then suddenly she is alone in the office with the love of her life? How can she go home and let this chance pass her?
What if she hoped maybe if she loves u so much and treat u extremely gud in this chance u have given her utaweza kumuacha mchumba wako n marry her. What if kaona if u want something gud sometimes u need to fight for it?

  • Sometimes mate its not about sex
  • Unaweza udharau wimbo wa JD usiusemee moyo but its a fact.
  • People have feelings too and no matter what u think they r not dolls for sex and dump.
  • Na hapa we ndo mwenye makosa bcoz somewhere u have a fiancee who is smilling knowing she is soon to be married to a wonderfull man.
nimependa busara zako
 
I js hope ur fiancee ana tabia ka ya huyo dada,uko busy kumshawishi dada wa watu kaa ukijua kuna wajanja nao watamgegeda ur girl huko aliko...u dnt knw wht she hs been thru,dn judge her had mwanamke anafikia stage ya kugawa K hvo..SHE GT NOTHING TO LOSE ANYMORE..
 
Ndugu yangu mila zetu hazitufundishi mwanamke kujilegeza kiasi hiki. Raha ya mwanamke akupe tabu sana. Tena ushindwe mpaka upeleke barua ya posa nyumbani kwao. Sawa mimi huenda nimekosea kumtongoza ila yeye ka compund kosa langu mara nyingi zaidi.

Mkipewa tabu mnakuja kulalamikaa hapa ooh wanawake mnakeraa tunatumia kila njia pamoja na pesa zetu zote kuwafatilia bt mwishowe mnatupiga chini ,mkirahisishwa mnaanza ooh maharage ya mbeya na songea...Mbona wanaume mna visebusebu na viroho papu....
 
Have u also considered the fact that, alikataa men too much na muda unaenda na sasa hakuna wanaume walioko serious wanamfuata na akaomba ushauri akaambiwa ana masharti sana apunguze(aache kubanabana-as they may say). She used to see u na akakupenda sana but u never said a word to her? She goes to work everyday akihope utamsemesha japo salamu lakini hakuna kitu.
Then suddenly she is alone in the office with the love of her life? How can she go home and let this chance pass her?
What if she hoped maybe if she loves u so much and treat u extremely gud in this chance u have given her utaweza kumuacha mchumba wako n marry her. What if kaona if u want something gud sometimes u need to fight for it?

  • Sometimes mate its not about sex
  • Unaweza udharau wimbo wa JD usiusemee moyo but its a fact.
  • People have feelings too and no matter what u think they r not dolls for sex and dump.
  • Na hapa we ndo mwenye makosa bcoz somewhere u have a fiancee who is smilling knowing she is soon to be married to a wonderfull man.
Ningekuwa na uwezo ningekupa bahari yaani unapangilia maneno yako hkurupuki aisee,yaani safi sana
 
Nimefurahi ulichoandika umenifanya nione tofauti kubwa na jinsi nilivyokuwa ninawafikiria wanawake wa aina hii. Thanksss for your time.

wewe nawe hupendi tuu kuufikirisha ubongo wako,

haya mwenzio kaufikirisha natumai kakubadili mtazamo, jifunze kufikiri nje ya box.
 
Ouuuuukayyyy this is how it goes.

It was yesterday bana mida ya jion, jirani kanipigia simu akanishtua kuna bonge la Foleni kuelekea Home. Yeye alinishauri nibadilishe njia ila mimi, Well nka decide ku waste time kwa office kwanza ques ziishe. Ilipofika mida ya kama 1800 hivi nkamuona dada mmoja wa makamo kiasi akiondoka peke yake. Jengo letu lilivyo ni kuwa kama unatumia mlango wa nyuma kutoka lazma upitie department yetu.

As usual, boys will always be boys nkaanzisha story na kumsihi kuwa mida hii mafoleni makubwa avute hata 15 mins hivi ndo aende. Pamoja na kuwa alikataa kusubiri kwa kisingizio kuwa kesha chelewa sana lakini alisimama kunisikiliza. Here I was alone na bidada kwenye mazungumzo ambayo hata hayakuwa na aim yeyote ya maana. Kiufupi huyu dada mi huwa namuona tu na najua anafanya kazi pale ofisini ila sijawahi hata kuongea nae.

Waswahili wanasema Mbuzi akifia kwa muuza supu kinachofuata kinajulikana. Basi na mimi when I ran out of things to say kwa huyu mrembo nkamuingia. Ingawa nia yangu haikuwa kumtongoza na nili expect akatae kabisa na aondoke ila aliendelea kunisikiliza huku akijichekesha. Sio kwamba ninampenda au nimevutiwa naye ila niliishiwa tu story na maneno ya kusema kwa wakati ule. Nlivyomuuliza kuwa ombi langu analipokeaje jibu lilinishangaza zaidi. Baada ya kuona hana dalili ya kukataa nkamfungukia kuwa nina mchumba wangu nategemea kumuoa hivyo this relationship ni Non-official. Hili pia halikumfanya akatae and she was up for it huku akijitamba kuwa yeye ni bingwa wa kutunza siri and no one will know.

I was Flabbergasted, sijui ni ushamba au ndo maharage ya mbeya ila how can you possibly say yes? The conversation lasted for abt 40 mins. Tukabadilishana contacts with a promise kuwa tutawasiliana. To be honest ningeendelea na hata kumuomba tukapate vinywaji na baadae guest angekubali kabsaaaaa 100%. Unajua nimeamini kuwa hakuna mwanaume M.alaya ila tatizo wanawake wanatuwekea K mezani kirahisi mno. Wengine hatupendi ku cheat ila kama wanawake hawabadiliki sidhani kama tutafanikiwa. As for the time being, I'm keeping her number just incase. Who knows she may be a very good friend after all.

Pimbi kweli ww, eti wanawake tunaweka K zetu mezani shenzi ww uliweka nn kwenye kiti p.u.m.b.u au bichwa lako? Ww ndo harage la mbeya kama una mchumba wako ulianza anza vipi kujirahisisha kwa huyo dada wa watu? Namsikitikia kweli huyo mchumba wako, hauko serious kabisa ww
 
Kumbafu zako, na nilikuwa nakuchora tu, mpuuzi mkubwa wewe, mshamba wakutupwa, huna haya wala hujui vibaya. Na nilikusikiliza huo upumbavu mpaka nikuone ulivyo mjinga............Yani huna hata akili moja............ptuuuuuuuuuu ana shida huyo anayekubali kuolewa na wewe. Pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Watu wengine bwana sasa kama na yeye alikuwa kila siku anatamani apate hiyo fursa kila anapokuona na ukampa na akaitumia vizuri why uanzae kumuona Malaya ? Angekataa ungekuja kutumbiaje hapa jukwani ? kwamba anaringa au ni mshamba ? aaargh..... Jamani Girls to have feelings and wishes lets not abuse them.....
 
Kumbafu zako, na nilikuwa nakuchora tu, mpuuzi mkubwa wewe, mshamba wakutupwa, huna haya wala hujui vibaya. Na nilikusikiliza huo upumbavu mpaka nikuone ulivyo mjinga............Yani huna hata akili moja............ptuuuuuuuuuu ana shida huyo anayekubali kuolewa na wewe. Pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu


Ha haaa on a serious note ni kweli ? lol...
 
  • Thanks
Reactions: LD
Na nyie wanaume ni washenzi tu tena mnakera!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
  • Thanks
Reactions: LD
ungepewa k nadhani na picha ungeweka kabisa
Namwombea msamaha huyu ndugu maana sisi wanaume chovya chovya huwa hatuna maana kwani KE akikataa shida akikubali shida vile vile. Akikataa anasema kwanza mbaya, anaringa wakati hana lolote kama GF wangu (ingawa kamwanza yeye). Akimkubali baadala ya kumshukuru kwa kutompotezea muda wa kuomba mpaka atoke jasho la damu-anamwita maharage ya mbeya. Jamani tubadilike tuwaheshimu hasa ambao hawataki kutusumbua na kama humtaki usimwombe acha wengine waombe waliosiriasi.
 
Kuna mijanaume mingine wanajiona vidume sababu tu wanamikia mbele lakini kichwani ni 0=0 shwaaain!! Rudi huku wewe mtoa mada ujibu mashambulizi!! Umeamusha waliolala eeeeh!!...upo wapi bibie lara 1 em njoo mpe makavu huyu bwana nimekumisi kweli!! Hahaaa!!
 
Last edited by a moderator:
kutongoza utongoze wewe alafu wewe ndo ikukere wewe utakuwa huna akili sawasawa kwa nini utongoze usichopenda ..... wewe ndo unakera kujpeleka peleka kwa wadada ovyo ovyo ndo ukomeeee..... cheap boy ndo maana akakukubali.............. mijiananume sijui ikoje
 
  • Thanks
Reactions: LD
Kuna mijanaume mingine wanajiona vidume sababu tu wanamikia mbele lakini kichwani ni 0=0 shwaaain!! Rudi huku wewe mtoa mada ujibu mashambulizi!! Umeamusha waliolala eeeeh!!...upo wapi bibie lara 1 em njoo mpe makavu huyu bwana nimekumisi kweli!! Hahaaa!!

nakuunga mkono 100%...
 
Back
Top Bottom