Wanawake Kwa Hili Mnakera

halafu huyu mtoa mada atakuwa kitombi sana. hii sio mara yake ya kwanza kuleta mada za hivi. mie ngoja leo nisichangie. teheeeeeeeee!

Haya basi wanawake wote nawashauri mseme ndio kila mnapo-tongozwa. Huo ndio mwenendo mzuri. Gaweni K kama pipi.
I'm out .....
 
Duh!Mleta mada alikuwa na maana gani hasa???Hujamtendea haki huyo dada kwa kweli.Wewe ndiye unatakiwa ujitathimini, kama ni kukera umekera hasa.Tena mmepeana na namba za simu, una mchumba, halafu unamlaumu??!!
 
Ouuuuukayyyy this is how it goes.

It was yesterday bana mida ya jion, jirani kanipigia simu akanishtua kuna bonge la Foleni kuelekea Home. Yeye alinishauri nibadilishe njia ila mimi, Well nka decide ku waste time kwa office kwanza ques ziishe. Ilipofika mida ya kama 1800 hivi nkamuona dada mmoja wa makamo kiasi akiondoka peke yake. Jengo letu lilivyo ni kuwa kama unatumia mlango wa nyuma kutoka lazma upitie department yetu.

As usual, boys will always be boys nkaanzisha story na kumsihi kuwa mida hii mafoleni makubwa avute hata 15 mins hivi ndo aende. Pamoja na kuwa alikataa kusubiri kwa kisingizio kuwa kesha chelewa sana lakini alisimama kunisikiliza. Here I was alone na bidada kwenye mazungumzo ambayo hata hayakuwa na aim yeyote ya maana. Kiufupi huyu dada mi huwa namuona tu na najua anafanya kazi pale ofisini ila sijawahi hata kuongea nae.

Waswahili wanasema Mbuzi akifia kwa muuza supu kinachofuata kinajulikana. Basi na mimi when I ran out of things to say kwa huyu mrembo nkamuingia. Ingawa nia yangu haikuwa kumtongoza na nili expect akatae kabisa na aondoke ila aliendelea kunisikiliza huku akijichekesha. Sio kwamba ninampenda au nimevutiwa naye ila niliishiwa tu story na maneno ya kusema kwa wakati ule. Nlivyomuuliza kuwa ombi langu analipokeaje jibu lilinishangaza zaidi. Baada ya kuona hana dalili ya kukataa nkamfungukia kuwa nina mchumba wangu nategemea kumuoa hivyo this relationship ni Non-official. Hili pia halikumfanya akatae and she was up for it huku akijitamba kuwa yeye ni bingwa wa kutunza siri and no one will know.

I was Flabbergasted, sijui ni ushamba au ndo maharage ya mbeya ila how can you possibly say yes? The conversation lasted for abt 40 mins. Tukabadilishana contacts with a promise kuwa tutawasiliana. To be honest ningeendelea na hata kumuomba tukapate vinywaji na baadae guest angekubali kabsaaaaa 100%. Unajua nimeamini kuwa hakuna mwanaume M.alaya ila tatizo wanawake wanatuwekea K mezani kirahisi mno. Wengine hatupendi ku cheat ila kama wanawake hawabadiliki sidhani kama tutafanikiwa. As for the time being, I'm keeping her number just incase. Who knows she may be a very good friend after all.

Wewe umeangalia upande wako,na side yake je?kama anakupenda kikwelii??acha kucheza na hisia za watu wewe

Ama kweli mchumba wako ulomchumbia..KALA HASARA!!
 
Have u also considered the fact that, alikataa men too much na muda unaenda na sasa hakuna wanaume walioko serious wanamfuata na akaomba ushauri akaambiwa ana masharti sana apunguze(aache kubanabana-as they may say). She used to see u na akakupenda sana but u never said a word to her? She goes to work everyday akihope utamsemesha japo salamu lakini hakuna kitu.
Then suddenly she is alone in the office with the love of her life? How can she go home and let this chance pass her?
What if she hoped maybe if she loves u so much and treat u extremely gud in this chance u have given her utaweza kumuacha mchumba wako n marry her. What if kaona if u want something gud sometimes u need to fight for it?

  • Sometimes mate its not about sex
  • Unaweza udharau wimbo wa JD usiusemee moyo but its a fact.
  • People have feelings too and no matter what u think they r not dolls for sex and dump.
  • Na hapa we ndo mwenye makosa bcoz somewhere u have a fiancee who is smilling knowing she is soon to be married to a wonderfull man.

Nimeipenda na umetumia busara sana. Daaa!!! unafanya vizuri inabidi nikutafute unipe maushauri ya binafsi. lol.
 
Kumbafu zako, na nilikuwa nakuchora tu, mpuuzi mkubwa wewe, mshamba wakutupwa, huna haya wala hujui vibaya. Na nilikusikiliza huo upumbavu mpaka nikuone ulivyo mjinga............Yani huna hata akili moja............ptuuuuuuuuuu ana shida huyo anayekubali kuolewa na wewe. Pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Hey ... girls girls girls ............
Mbona mmekuwa wakali hivyo kuna uabaya gani jamaa kuueleza ukweli huu
Ombi langu kwenu punguzeni hasira basi ili maongezi yanoge
 
Have u also considered the fact that, alikataa men too much na muda unaenda na sasa hakuna wanaume walioko serious wanamfuata na akaomba ushauri akaambiwa ana masharti sana apunguze(aache kubanabana-as they may say). She used to see u na akakupenda sana but u never said a word to her? She goes to work everyday akihope utamsemesha japo salamu lakini hakuna kitu.
Then suddenly she is alone in the office with the love of her life? How can she go home and let this chance pass her?
What if she hoped maybe if she loves u so much and treat u extremely gud in this chance u have given her utaweza kumuacha mchumba wako n marry her. What if kaona if u want something gud sometimes u need to fight for it?

  • Sometimes mate its not about sex
  • Unaweza udharau wimbo wa JD usiusemee moyo but its a fact.
  • People have feelings too and no matter what u think they r not dolls for sex and dump.
  • Na hapa we ndo mwenye makosa bcoz somewhere u have a fiancee who is smilling knowing she is soon to be married to a wonderfull man.


Asante!!!
 
na unamuita malaya!!? Sjui kwanin wanaume hatuna shukran. Wakichelewa kujibu/Wakikataa wanaringa, wakikubali malaya
 
Have u also considered the fact that, alikataa men too much na muda unaenda na sasa hakuna wanaume walioko serious wanamfuata na akaomba ushauri akaambiwa ana masharti sana apunguze(aache kubanabana-as they may say). She used to see u na akakupenda sana but u never said a word to her? She goes to work everyday akihope utamsemesha japo salamu lakini hakuna kitu.
Then suddenly she is alone in the office with the love of her life? How can she go home and let this chance pass her?
What if she hoped maybe if she loves u so much and treat u extremely gud in this chance u have given her utaweza kumuacha mchumba wako n marry her. What if kaona if u want something gud sometimes u need to fight for it?

  • Sometimes mate its not about sex
  • Unaweza udharau wimbo wa JD usiusemee moyo but its a fact.
  • People have feelings too and no matter what u think they r not dolls for sex and dump.
  • Na hapa we ndo mwenye makosa bcoz somewhere u have a fiancee who is smilling knowing she is soon to be married to a wonderfull man.

well said.....
 
Ouuuuukayyyy this is how it goes.

It was yesterday bana mida ya jion, jirani kanipigia simu akanishtua kuna bonge la Foleni kuelekea Home. Yeye alinishauri nibadilishe njia ila mimi, Well nka decide ku waste time kwa office kwanza ques ziishe. Ilipofika mida ya kama 1800 hivi nkamuona dada mmoja wa makamo kiasi akiondoka peke yake. Jengo letu lilivyo ni kuwa kama unatumia mlango wa nyuma kutoka lazma upitie department yetu.

As usual, boys will always be boys nkaanzisha story na kumsihi kuwa mida hii mafoleni makubwa avute hata 15 mins hivi ndo aende. Pamoja na kuwa alikataa kusubiri kwa kisingizio kuwa kesha chelewa sana lakini alisimama kunisikiliza. Here I was alone na bidada kwenye mazungumzo ambayo hata hayakuwa na aim yeyote ya maana. Kiufupi huyu dada mi huwa namuona tu na najua anafanya kazi pale ofisini ila sijawahi hata kuongea nae.

Waswahili wanasema Mbuzi akifia kwa muuza supu kinachofuata kinajulikana. Basi na mimi when I ran out of things to say kwa huyu mrembo nkamuingia. Ingawa nia yangu haikuwa kumtongoza na nili expect akatae kabisa na aondoke ila aliendelea kunisikiliza huku akijichekesha. Sio kwamba ninampenda au nimevutiwa naye ila niliishiwa tu story na maneno ya kusema kwa wakati ule. Nlivyomuuliza kuwa ombi langu analipokeaje jibu lilinishangaza zaidi. Baada ya kuona hana dalili ya kukataa nkamfungukia kuwa nina mchumba wangu nategemea kumuoa hivyo this relationship ni Non-official. Hili pia halikumfanya akatae and she was up for it huku akijitamba kuwa yeye ni bingwa wa kutunza siri and no one will know.

I was Flabbergasted, sijui ni ushamba au ndo maharage ya mbeya ila how can you possibly say yes? The conversation lasted for abt 40 mins. Tukabadilishana contacts with a promise kuwa tutawasiliana. To be honest ningeendelea na hata kumuomba tukapate vinywaji na baadae guest angekubali kabsaaaaa 100%. Unajua nimeamini kuwa hakuna mwanaume M.alaya ila tatizo wanawake wanatuwekea K mezani kirahisi mno. Wengine hatupendi ku cheat ila kama wanawake hawabadiliki sidhani kama tutafanikiwa. As for the time being, I'm keeping her number just incase. Who knows she may be a very good friend after all.

Usirudie kuchezea hisia za watu
 
Honestly speaking sipendi wanaume wa design hii. Maringo na dharau kwa wanawake. Sasa angekupita ungesema anadharau wakati mnafanya kazi sehemu moja. Kakusikiliza badala ya kuongea mambo ya msingi unamtongoza. Ungekua we wa maana ungeongea vya maana. Huyo mchumba wako kala hasara.
 
Huyu ni mlinzi. Eti ohhh jengo letu lilivyo ukitaka kutoka lazima upitie dept yetu.
Dada wa watu amemuhurumia, unajishaua.lol
 
Back
Top Bottom