Wanawake kukesha bar mnatia aibu!!!!

Jamani mbona mnawasimanga wakina mama na dada hivyo...kwani kuna alama iliyoandikwa usoni mwao kuwa waende bar mpaka saa ngapi! Mbona wa baba hatuwasemi kwa hilo? Mkiona hivyo basi mjue kuna tatizo sehemu fulani katika hizo nyumba zao, si bure na si hulka kwa mwanamke kufanya hayo. Kwa kweli ni aibu sana ila wafanye nini na wao wajisikia wapweke.

Hii sredi ilipaswa iwe "wanandoa kushinda baa ni aibu" (samahani kwa wale ntaowakwaza!!). Sasa kama mume anarudi alfajiri mkewe akarudi midnight kuna ubaya? Manake watoto ni wetu sote, tena wana jina la baba yao!Mfumo dume huu, kwa kiasi fulani nafikiri mwanaume kama kichwa cha nyumba uta-define hulka ya mkeo! Sio kawaida sana kama mume unarudi nyumbani mapema mkeo arudi late!! Jeuri, uzururaji, ulevi etc ni moulding inayotokea katika harakati za ku-cope na mazingira!
 
..............Kwani uliambiwa mwanamke mjamzito haruhusiwi kwenda outing/kujirusha? Kama ujauzito wako hauna matatizo yoyote kujirusha/club ni kama kawaida.
:preggers: preggers are advised not to drink or smoke... au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom