Kalamzuvendi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2009
- 639
- 733
Kwa maumbile ya wanawake hasa wa kiafrika ilivyo hata hiyo 21 mingi kwa huyo.
Mmesoma hapo wanapodai ana watoto watano?
Kwa umri wa miaka 21 anawezaje kuwa na watoto watano?
Gigigi mane auHuyu bado mtoto, kuna binti tunakaa nae mtaa mmoja yuko kama huyo na ni 19 yrs, anazaliwa anakua namwona.