Wanawake fedha sio kama nyoka wa shaba kwamba mkiitazama mtapona!

Earthworker

Member
Jul 15, 2011
83
30
Kwa mabinti sio wote ila wachache ambao wameweka pesa kama ndo kipaumbele cha kwanza kwenye mahusiano! Ndo maana wengi mnatumika na wenye pesa na siku mkitaka kufika nchi ya ahadi (kwenye ndoa) mnakuta yule mtu aliyeteuliwa kukufanyia njia kwenye bahari ya shamu hayupo tena!
Hatukatai Pesa Ndo Kila Kitu! Ila Mkumbuke Muda Haurudi Nyuma! WAOWAJI TUPO SEMA WENGI HAMJIELEWI! SIKU MKISHTUKA NA TIME IMEKWENDA
 
Utadhani wamezaliwa benk jinsi wanavyopenda pesa,na wenye pesa wakiwapata wanakonga nyoyo then wanatimka.
Sasa mtakonga nyoyo na wangapi? C.c miss chaga
 
Pesa Ni Maratasi Yaliyotiwa Thamani Na Sisi Wenyewe,Pesa ni Kinyago Chetu Tulicho Kichonga Wenyewe...Ni Kwanini Tunakiabudu?
 
mmh hizi topic za wanawake kuweka hela kama kipaumbele kwenye mapenzi mbona zimezidi sana humu mmu
 
Kwa mabinti sio wote ila wachache ambao wameweka pesa kama ndo kipaumbele cha kwanza kwenye mahusiano! Ndo maana wengi mnatumika na wenye pesa na siku mkitaka kufika nchi ya ahadi (kwenye ndoa) mnakuta yule mtu aliyeteuliwa kukufanyia njia kwenye bahari ya shamu hayupo tena!
Hatukatai Pesa Ndo Kila Kitu! Ila Mkumbuke Muda Haurudi Nyuma! WAOWAJI TUPO SEMA WENGI HAMJIELEWI! SIKU MKISHTUKA NA TIME IMEKWENDA
ni kweli kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom