Wanawake chotara au shombeshombe ni kweli wanapatikana mkoani Tabora?

Lincolnboy

Member
Mar 31, 2023
59
117
Habari za majukumu wana JF,

NAHITAJI kupata uhakika na maelekezo juu ya mademu chotara au shombeshombe wa kiarabu nimepata tetesi kua mkoa wa TABORA.

Wanapatikana kwa wingi na maisha yao ni maisha ya hali ya kawaida tu hivo nimekuja jamvini kuuliza kwa wenyeji wa mkoa wa Tabora, je ni kweli Hawa mademu mashombeshombe wapo?

Na ni maeneo gani wanapatikana?

Natanguliza shukurani
 
NAHITAJI kupata uhakika na maelekezo juu ya mademu chotara au shombeshombe wa kiarabu nimepata tetesi kua mkoa wa TABORA. Na ni maeneo gani wanapatikana?

Mkuu mbona swali umeuliza mwenyewe na tayari umelijibu mwenyewe..
 
Habari za majukumu wana JF,

NAHITAJI kupata uhakika na maelekezo juu ya mademu chotara au shombeshombe wa kiarabu nimepata tetesi kua mkoa wa TABORA.

Wanapatikana kwa wingi na maisha yao ni maisha ya hali ya kawaida tu hivo nimekuja jamvini kuuliza kwa wenyeji wa mkoa wa Tabora, je ni kweli Hawa mademu mashombeshombe wapo?

Na ni maeneo gani wanapatikana?

Natanguliza shukurani
Nenda sikonge wapo wengi sana!!daaa umenikumbusha mtoto RAHMA!!
 
Ngoja nitaongea na mama akupe hata uwaziri wa kutoa connection.
Vipi lakini mkuu wako vizuri kimuonekano au ni wakawaida?
hahaaaa!!ubora wao unategemea hasa na uwezo wa familia anayotoka,kwani kule unaweza kukuta toto la kichotara ni zuri ila limekosa matunzo mazuri!!
Mtoto rahma ni dini tu ndio ilinifanya nikashindwa kumuoa!!miaka hiyo nafanya shughuri zangu mpanda anakuja kwa dada yake lakini anaishi kwangu kwao wanajua yupo kwa dada yake!!!
 
Hahahaha...mtoto RAHMA alifanyaje Tena mkuu,,,,
Akikuwa akija kwangu hataki kurudi kwao kabisa!!nina ishi naye kama mke wangu,hadi OCS,na DIO wakawa wanamtaka kwa nguvu eti inakuwaje huyu mgonga ulimbo awe na toto hili(mjukuu wa mtume) ila wakashindwa ,ikaanza vita eti mimi sio mtanzania!!hii nchi ngumu sana,akawaambia hata mkimrudisha kwao nitaenda naye tu!!haaah!!
 
Back
Top Bottom