Simple_unaowaona wahuni ni kwamba ni wacheshi na hao unawasema wanajiheshimu ni kwamba wengi wao ni wanafiki(wanajifanya watulivu kumbe....)......huu ni mtazamo wangu_waungwana msinipige mawe.katika maisha yangu nimeona wasichana wengi ambao kimaisha wanajiheshimu either hawaolewi au wanachelewa kuolewa lakini wengi wahuni ninaowafahamu wengi wanaollewa why this?
mbona mi mapepe nagonga 35 yrs na sijaolewa?
come to ma way...ila sintakuoa_ni hit and run,hapo vip my daug......mbona mi mapepe nagonga 35 yrs na sijaolewa?
Kuolewa ni bahati[/QUOTE]
haya sasa hapo tumepata mipoint_na kuoa ni nini?
katika maisha yangu nimeona wasichana wengi ambao kimaisha wanajiheshimu either hawaolewi au wanachelewa kuolewa lakini wengi wahuni ninaowafahamu wengi wanaollewa why this?
katika maisha yangu nimeona wasichana wengi ambao kimaisha wanajiheshimu either hawaolewi au wanachelewa kuolewa lakini wengi wahuni ninaowafahamu wengi wanaollewa why this?
Wengine unaweza kuwaona chakalamu kwa nje kumbe kwa ndani wasafi,na wengine wanaoneka kwa nje bonge la watulivu kumbe kiukweli hao ni NOUMER!Lakini pia mapepe wengi ni wajanja wa kucheza na sanaa ya ULIMI kiasi kwao ni rahisi pia kushawishi mahusiano ya kudumu.