What they say about this forum?kwamba its corrupted by mwanakijiji,na ni forum ya kifisadi! I have one word: Wake up.. If that is true. Thats the rumour going round
gademu..!! Mkandara nimecheka hapa sina hamu... hivi wanawadharau sana watu waliomo humu? Kwamba nikiondoka mimi ndiyo JF itakuwa 'safi'! Gademu Rostam....you ain't gonna stop eh.. (don't ask me I just had to say his name just to piss some people off)!!
Mkuu ila umeithank the thread sasa sijui you were being sarcastic au? Ila usi shangae sana in any thing there are supporters of both sides. Lets hear his story.
Yessir nafikiri umejiunga na kuanza kuchangia hivi karibuni, sina hakika lakini huenda ulikuwa unasoma hoja mbali mbali kwani si wote wanaosoma wanachangia mawazo. Sasa kwanza wewe hadi umeleta hii hoja natumaini baada ya kujiunga umesoma posts nyingi sana, wewe umeona hicho kitu kipo hapa??? Kuna posts ngapi hapa JF, je zote ni za mwanakijiji?? kuna replies ngapi hapa JF , je zote ni za mwanakijiji?
Swali kama siyo wewe ndiye unayesema hayo maneno kwa nini hukuwaelimisho hao rafiki zako waliokwambia hivyo, !! Akili yangu inanituma huenda ni mawazo yako binafsi kwa faida zako binafsi au za watu wengine unaowajua wewe.
no research no right to speak...what they say about this forum?kwamba its corrupted by mwanakijiji,na ni forum ya kifisadi! I have one word: Wake up.. If that is true. Thats the rumour going round
embu tuanze na wewe je? Unadhani ni kweli?what they say about this forum?kwamba its corrupted by mwanakijiji,na ni forum ya kifisadi! I have one word: Wake up.. If that is true. Thats the rumour going round
wewe nawe usiongee mambo usiyoyajua..bora uulize,kama nilivyouliza mimi kuliko ku weka conclusions!
mwanakijiji anaongelewa every where.. hadi kwenye michuzi amesutwa kwamba ni fisadi na ni mtoto wa fisadi..sasa what does that have to do with me. anyways sawa nimeshapata majibu
Mkubwa;
Dah! Sijui niseme tu nifungiwe humu?????? Dah! Duh!
Nyani Ngabu ebu mmalize huyu!. Tatizo la hizi Blog ni kuwa watoto na wazee wanajumuika pamoja ba kubadilishana mawazo, sasa watoto huwa hawachelewi kujionyesha kwa ufinyu wa mawazo yao!.
What they say about this forum?kwamba its corrupted by mwanakijiji,na ni forum ya kifisadi! I have one word: Wake up.. If that is true. Thats the rumour going round
What they say about this forum?kwamba its corrupted by mwanakijiji,na ni forum ya kifisadi! I have one word: Wake up.. If that is true. Thats the rumour going round
bangi zingine bwanaWhat they say about this forum?kwamba its corrupted by mwanakijiji,na ni forum ya kifisadi! I have one word: Wake up.. If that is true. Thats the rumour going round