nimetosheka ngoja nikaoge nkalale mie. mwenzenu wivu ulishanipitiaga kushoto....aliwe asiliwe hiyo 'kitu' ni yake ana uhuru a jinsi gani aitumie au itumike.....!
C kweli
....
...anyway, hiyo kukimbilia bafuni ni woga wao tu kwamba huenda bado
ana harufu ya janaba, au ya huyo mwanaume mwingine. Si wajua binadamu 'hunusa'
pia kama wanyama?
Siyo kweli. wanafanya wanaoga huko huko. na akija home ni mkavu na mwenye joto kama zamani.
When it comes to concealing stuff,naamini wanawake ar good at it kuliko wanaume.
Na hadi umuone mwanamke aliyeolewa anacheat (well,majority unless ni tabia yake tu)ina maana moyo wake umeshakua hardened kiasi cha kutojali tena.
Mswati mwenyewe wamemchapia
huwezi kujua yaliyo moyoni kwa mwenza, na mara nyingi unakuta hata huyo anayekimbiliwa ni "a lesser person" in mostcases
Wakuu JF.
Wanaume wenzangu tuziangalie hizi dalili 5 za mke aliyetoka kukusaliti..
1. Akirudi nyumbani hutumia dakika moja toka kusalimia hadi kwenda bafuni kuoga.
2. Mara nyingi mavazi aliyovaa siku hiyo, akishayavua hukimbilia kwenda kuyasokomeza kwenye kapu la nguo chafu au chumba cha watoto wakati si kawaida yake. Siku zote huvulia chumbani na asubuhi huzipeleka kwenye kapu.
3. Ukimkazia macho usoni na kumuangalia, hukwepesha macho yake kwa aibu dhamira anahisi kama umejua.
4. Hatapenda kukaa sanjari na wewe mumewe kama kawaida yenu.
5. Kama hatasingizia kuumwa tumbo saa mbili kabla ya kurudi nyumbani, basi atafanya hivyo akishafika tu. Anaweza pia kukusumbua kwa kutaka uende kumnunulia dawa..
Tuzinduke jamani na wake zetu
nimetosheka ngoja nikaoge nkalale mie. mwenzenu wivu ulishanipitiaga kushoto....aliwe asiliwe hiyo 'kitu' ni yake ana uhuru a jinsi gani aitumie au itumike.....!