ila vitambi vingine wanakuaga na mziki mnene..duh
Hata mimi nawadharau sana
ila vitambi vingine wanakuaga na mziki mnene..duh
Fanyeni mazoezi mpunguze vitambi hivyo maana mnakuwa wazembe hata nguvu za kupump mnakosa looo..... by the way tunawapenda sana
My frendi Merengo90 za siku mbili tatu.. Je mwenzangu unatamani kitambi... au upojee?!!Kuna aina za vitambi. Kuna vile vimekaaa kama b ndogo, hivi ni vitambi vya msosi, vitambi vya chini. Kuna vitambi vya kati, yani tumbo limechongoka kwa kwenda mbele kama mjamzito. Kuna vitambi vya juu, yani mtu anakuwa anaonekan kama tumbo kipo kifuani hivi, hakuna mgawanyiko wa tumbo na kifua, vitambi vya shida mara nyingi
Sasa kuna watu wana vitambi vya familia, au kula sana. Hawa hata wafanye zoezi lakini hawapunguzi kula. Hawa utakuta wepesi hata kwenye kukimbia humkamati, ukijimksi na aini hiiii na wew ulitegemea hule nyama zake halafu apige bao huwai kunyonyesha mwanao nyumbani, UTAJUTA
My frendi Merengo90 za siku mbili tatu.. Je mwenzangu unatamani kitambi... au upojee?!!
Ulishawahi kuvijaribu....???
Kuna aina za vitambi. Kuna vile vimekaaa kama b ndogo, hivi ni vitambi vya msosi, vitambi vjya chini. Kuna vitambi vya kati, yani tumbo limechongoka kwa kwenda mbele kama mjamzito. Kuna vitambi vya juu, yani mtu anakuwa anaonekan kama tumbo kipo kifuani hivi, hakuna mgawanyiko wa tumbo na kifua, vitambi vya shida mara nyingi
Sasa kuna watu wana vitambi vya familia, au kula sana. Hawa hata wafanye zoezi lakini hawapunguzi kula. Hawa utakuta wepesi hata kwenye kukimbia humkamati, ukijimksi na aini hiiii na wew ulitegemea hule nyama zake halafu apige bao huwai kunyonyesha mwanao nyumbani, UTAJUTA