Wanaume wa kaskazini waangaliwe upya wananyanyaswa sana na wanawake zao hakika

Mimi mwenyewe nimeishi kaskazini kwa miaka Mingi. Kwa kweli Wanaume wa Kaskazini hawana say kabisa ndani ya familia.. Ni wanaonewa sana na wake zao kupita maelezo. Wapo radhi kukesha Baa kunywa pombe kali kupunguza manyanyaso na vipigo kutoka kwa Mke.

Sometimes inabidi zianzishwe taasisi za kutetea Haki zao
 
Ndugu kwa masikitiko makubwa naandika


Sijui wanawake wa kaskazini wanaume zao waliwakosea nini, kiasi cha wanawake kuwapeleka mbio mbio na kuwanyanyasa wanaume zao

Wana mfumo dume uliobakia midomoni mwao ila ndani mfumo jike ndiyo unaotawala hakika na waambieni, wanawake wanawanyanyasa sana hawa wanaume wa huku

Ni wakaidi ukiwaona, wababe , wenye misimamo mikali na miili iliyo jaa na kutuna misuli kwa mbali ila ukweli usiopingika wananyanyaswa sana na wanawake zao siyo kwenye uchumba au ndoa wananyanyaswa kila sector mfano hakuna. Wanawake zao ni wababe, wanaume wa kasakazini wanapigwa kabali, ngumi , kuchomwa kisu ni jambo la kawaida sana na hawana pakusemea hakika wanagugumia mioyoni mwao

Wanaume wa kaskazini wanapigwa na wake zao huko ndani, hawana amani ya moyo na asilimia kubwa wana magonjwa ya presha na mishtuko ya hapa na pale wakisikia sauti za wake zao.

Wanaume wa kaskazini wanasonona kali inayowapelekea kuvuta bangi na kutumia pombe kali sana baada ya kunyanyaswa na wanawake zao kimapenzi huko ndani, wanapelekeshwa na kupelekwa mchaka mchaka na wanawake zao pasi na kuonewa huruma yeyote ile

Wanaume wengi wa kaskazini wengi wameburuzwa kibabe sana lockup na wake zao, mademu zao na wachumba zao pasi na sababu za msingi, wanahudhuria kesi na mashitaka wanayoshitakiwa na wake zao yasiyo na kichwa wala miguu, utawakuta serikali za mitaa wakishitakiwa , utawakuta kwenye mabaraza ya wazee wakishutumiwa na wengine utawakuta sero wametupwa huko na wake zao, huku wanawake zao kuingia mitini

Utawakuta wanafanya kazi kwa bidii sa a ila wananyang'anywa hela wafikapo ndani, wanawake wa kaskazini wanadiliki kuwasachi waume zao na kuchukua vyote jamaa alivyo vitafuta, mwanume hawapikiwi chakula wanaishi kula mighahawani na wengi wao wanachoteshwa maji huko mabombani na wake zao, wanajifulia wenyewe na kufata watoto shule tena kwa amri za wake zao na ole wao wasifanye hivyo watajaziwa inzi

Hawasikilizwi na wake zao kabisa na wakilazimisha kusikilizwa kukimbizwa na panga, kushikiwa beto, kutishiwa kuuwawa ni jambo la kawaida mno, wanaume wa kaskazini wananyanyasika mno na hakuna wa kuwasaidia

Haki sawa imeshamiri dhidi ya wanawake zao, wanawake kudanga , kutoka bila ruhusa ya mume na kumjia usiku ni jambo la kawaida , wanawake kuwatelekezea wanaume watoto ni fasion hata kuzivunja ndoa huku kaskazini ili mali igawanywe ni fasion kwao, wanaume wa huku hawana wa kuwasaidia wanapelekwa mbiombio na wake zao


Ndugu hawa wanaume wa kaskazini wanahitaji uangalizi wa karibu sana, wanahitaji kusaidiwa kisaikolojia, wanahitaji kufarijiwa na kuombewa hakika maana wanateswa sana na wake zao kiasi cha wao kuamua kuishia vijiweni kwenye bangi na matumizi ya pombe kali
Ulivyoandika maneno mengi yaliyojaa tuhuma na shutuma na kejel ni wazi kunamajeraha moyon mwako ambay msing wake ni watu wa kaskazin owkey tumeona maneno yako lakin tumeskia souti yako 🤠🤠
 
Mimi mwenyewe nimeishi kaskazini kwa miaka Mingi. Kwa kweli Wanaume wa Kaskazini hawana say kabisa ndani ya familia.. Ni wanaonewa sana na wake zao kupita maelezo. Wapo radhi kukesha Baa kunywa pombe kali kupunguza manyanyaso na vipigo kutoka kwa Mke.

Sometimes inabidi zianzishwe taasisi za kutetea Haki zao
Ni kweli taasisi ziundwe upesi kuwaangalia hawa wanaume wa kaskazini maana wananyanyasika sana
 
mwanamke wa kaskazini anakula kitimoto kilo 2 alafu anakunywa na mbege kitoto ndoo, baada ya hapo usiku anacheulia na safari(bia) kubwa 5.

unakuta kapanda hewani ana kitambi na mwili mkubwa+nguvu, hivyo wanaume wanaogopa kupigwa
 
Ndugu kwa masikitiko makubwa naandika


Sijui wanawake wa kaskazini wanaume zao waliwakosea nini, kiasi cha wanawake kuwapeleka mbio mbio na kuwanyanyasa wanaume zao

Wana mfumo dume uliobakia midomoni mwao ila ndani mfumo jike ndiyo unaotawala hakika na waambieni, wanawake wanawanyanyasa sana hawa wanaume wa huku

Ni wakaidi ukiwaona, wababe , wenye misimamo mikali na miili iliyo jaa na kutuna misuli kwa mbali ila ukweli usiopingika wananyanyaswa sana na wanawake zao siyo kwenye uchumba au ndoa wananyanyaswa kila sector mfano hakuna. Wanawake zao ni wababe, wanaume wa kasakazini wanapigwa kabali, ngumi , kuchomwa kisu ni jambo la kawaida sana na hawana pakusemea hakika wanagugumia mioyoni mwao

Wanaume wa kaskazini wanapigwa na wake zao huko ndani, hawana amani ya moyo na asilimia kubwa wana magonjwa ya presha na mishtuko ya hapa na pale wakisikia sauti za wake zao.

Wanaume wa kaskazini wanasonona kali inayowapelekea kuvuta bangi na kutumia pombe kali sana baada ya kunyanyaswa na wanawake zao kimapenzi huko ndani, wanapelekeshwa na kupelekwa mchaka mchaka na wanawake zao pasi na kuonewa huruma yeyote ile

Wanaume wengi wa kaskazini wengi wameburuzwa kibabe sana lockup na wake zao, mademu zao na wachumba zao pasi na sababu za msingi, wanahudhuria kesi na mashitaka wanayoshitakiwa na wake zao yasiyo na kichwa wala miguu, utawakuta serikali za mitaa wakishitakiwa , utawakuta kwenye mabaraza ya wazee wakishutumiwa na wengine utawakuta sero wametupwa huko na wake zao, huku wanawake zao kuingia mitini

Utawakuta wanafanya kazi kwa bidii sa a ila wananyang'anywa hela wafikapo ndani, wanawake wa kaskazini wanadiliki kuwasachi waume zao na kuchukua vyote jamaa alivyo vitafuta, mwanume hawapikiwi chakula wanaishi kula mighahawani na wengi wao wanachoteshwa maji huko mabombani na wake zao, wanajifulia wenyewe na kufata watoto shule tena kwa amri za wake zao na ole wao wasifanye hivyo watajaziwa inzi

Hawasikilizwi na wake zao kabisa na wakilazimisha kusikilizwa kukimbizwa na panga, kushikiwa beto, kutishiwa kuuwawa ni jambo la kawaida mno, wanaume wa kaskazini wananyanyasika mno na hakuna wa kuwasaidia

Haki sawa imeshamiri dhidi ya wanawake zao, wanawake kudanga , kutoka bila ruhusa ya mume na kumjia usiku ni jambo la kawaida , wanawake kuwatelekezea wanaume watoto ni fasion hata kuzivunja ndoa huku kaskazini ili mali igawanywe ni fasion kwao, wanaume wa huku hawana wa kuwasaidia wanapelekwa mbiombio na wake zao


Ndugu hawa wanaume wa kaskazini wanahitaji uangalizi wa karibu sana, wanahitaji kusaidiwa kisaikolojia, wanahitaji kufarijiwa na kuombewa hakika maana wanateswa sana na wake zao kiasi cha wao kuamua kuishia vijiweni kwenye bangi na matumizi ya pombe kali
Ni hapahapa Tanzania?Au ni North Korea?
 
Wanawake wa kaskazini bila hivyo hawaendi.
Ishi na mke wa kaskazini kama unaishi na mke wa pwani ulete mrejesho.
Ukanda huo ndo unaenda Kenya hadi Mara huko inatakiwa uwe mwanaume na sio mvulana.
Kama we ni mvulana cheza Kanda ya kati na pwani
 
Kaskazini ni kubwa mno, lqbda ungekuwa specific mkoa upi na jamii ipi ya kaskazini
Kaskazini yote Hadi Kenya Hadi mkoa wa Mara wanawake wa ukanda huu ni hatari sana kwa afya ya akili ya mwanaume.
Feminist by nature don't try this at home,hawajui mapenzi,sio romantic,ni wababe,wakorofi,wagomvi,wanapiga visu hatari,Wana hasira,ujuaji,mdomo,
 
Kaskazini yote Hadi Kenya Hadi mkoa wa Mara wanawake wa ukanda huu ni hatari sana kwa afya ya akili ya mwanaume.
Feminist by nature don't try this at home,hawajui mapenzi,sio romantic,ni wababe,wakorofi,wagomvi,wanapiga visu hatari,Wana hasira,ujuaji,mdomo,
Siyo kupiga tuu visu hata kukutoa uhai wanaweza na nikawaida sana kusikia mwanamke wa huu ukanda kaua mume wake
 
Ndugu kwa masikitiko makubwa naandika


Sijui wanawake wa kaskazini wanaume zao waliwakosea nini, kiasi cha wanawake kuwapeleka mbio mbio na kuwanyanyasa wanaume zao

Wana mfumo dume uliobakia midomoni mwao ila ndani mfumo jike ndiyo unaotawala hakika na waambieni, wanawake wanawanyanyasa sana hawa wanaume wa huku

Ni wakaidi ukiwaona, wababe , wenye misimamo mikali na miili iliyo jaa na kutuna misuli kwa mbali ila ukweli usiopingika wananyanyaswa sana na wanawake zao siyo kwenye uchumba au ndoa wananyanyaswa kila sector mfano hakuna. Wanawake zao ni wababe, wanaume wa kasakazini wanapigwa kabali, ngumi , kuchomwa kisu ni jambo la kawaida sana na hawana pakusemea hakika wanagugumia mioyoni mwao

Wanaume wa kaskazini wanapigwa na wake zao huko ndani, hawana amani ya moyo na asilimia kubwa wana magonjwa ya presha na mishtuko ya hapa na pale wakisikia sauti za wake zao.

Wanaume wa kaskazini wanasonona kali inayowapelekea kuvuta bangi na kutumia pombe kali sana baada ya kunyanyaswa na wanawake zao kimapenzi huko ndani, wanapelekeshwa na kupelekwa mchaka mchaka na wanawake zao pasi na kuonewa huruma yeyote ile

Wanaume wengi wa kaskazini wengi wameburuzwa kibabe sana lockup na wake zao, mademu zao na wachumba zao pasi na sababu za msingi, wanahudhuria kesi na mashitaka wanayoshitakiwa na wake zao yasiyo na kichwa wala miguu, utawakuta serikali za mitaa wakishitakiwa , utawakuta kwenye mabaraza ya wazee wakishutumiwa na wengine utawakuta sero wametupwa huko na wake zao, huku wanawake zao kuingia mitini

Utawakuta wanafanya kazi kwa bidii sa a ila wananyang'anywa hela wafikapo ndani, wanawake wa kaskazini wanadiliki kuwasachi waume zao na kuchukua vyote jamaa alivyo vitafuta, mwanume hawapikiwi chakula wanaishi kula mighahawani na wengi wao wanachoteshwa maji huko mabombani na wake zao, wanajifulia wenyewe na kufata watoto shule tena kwa amri za wake zao na ole wao wasifanye hivyo watajaziwa inzi

Hawasikilizwi na wake zao kabisa na wakilazimisha kusikilizwa kukimbizwa na panga, kushikiwa beto, kutishiwa kuuwawa ni jambo la kawaida mno, wanaume wa kaskazini wananyanyasika mno na hakuna wa kuwasaidia

Haki sawa imeshamiri dhidi ya wanawake zao, wanawake kudanga , kutoka bila ruhusa ya mume na kumjia usiku ni jambo la kawaida , wanawake kuwatelekezea wanaume watoto ni fasion hata kuzivunja ndoa huku kaskazini ili mali igawanywe ni fasion kwao, wanaume wa huku hawana wa kuwasaidia wanapelekwa mbiombio na wake zao


Ndugu hawa wanaume wa kaskazini wanahitaji uangalizi wa karibu sana, wanahitaji kusaidiwa kisaikolojia, wanahitaji kufarijiwa na kuombewa hakika maana wanateswa sana na wake zao kiasi cha wao kuamua kuishia vijiweni kwenye bangi na matumizi ya pombe kali
Pana ukweli, nna mpangaji wangu yanamkuta aisee, mkewe anampelekesha mno
 
Ndugu kwa masikitiko makubwa naandika


Sijui wanawake wa kaskazini wanaume zao waliwakosea nini, kiasi cha wanawake kuwapeleka mbio mbio na kuwanyanyasa wanaume zao

Wana mfumo dume uliobakia midomoni mwao ila ndani mfumo jike ndiyo unaotawala hakika na waambieni, wanawake wanawanyanyasa sana hawa wanaume wa huku

Ni wakaidi ukiwaona, wababe , wenye misimamo mikali na miili iliyo jaa na kutuna misuli kwa mbali ila ukweli usiopingika wananyanyaswa sana na wanawake zao siyo kwenye uchumba au ndoa wananyanyaswa kila sector mfano hakuna. Wanawake zao ni wababe, wanaume wa kasakazini wanapigwa kabali, ngumi , kuchomwa kisu ni jambo la kawaida sana na hawana pakusemea hakika wanagugumia mioyoni mwao

Wanaume wa kaskazini wanapigwa na wake zao huko ndani, hawana amani ya moyo na asilimia kubwa wana magonjwa ya presha na mishtuko ya hapa na pale wakisikia sauti za wake zao.

Wanaume wa kaskazini wanasonona kali inayowapelekea kuvuta bangi na kutumia pombe kali sana baada ya kunyanyaswa na wanawake zao kimapenzi huko ndani, wanapelekeshwa na kupelekwa mchaka mchaka na wanawake zao pasi na kuonewa huruma yeyote ile

Wanaume wengi wa kaskazini wengi wameburuzwa kibabe sana lockup na wake zao, mademu zao na wachumba zao pasi na sababu za msingi, wanahudhuria kesi na mashitaka wanayoshitakiwa na wake zao yasiyo na kichwa wala miguu, utawakuta serikali za mitaa wakishitakiwa , utawakuta kwenye mabaraza ya wazee wakishutumiwa na wengine utawakuta sero wametupwa huko na wake zao, huku wanawake zao kuingia mitini

Utawakuta wanafanya kazi kwa bidii sa a ila wananyang'anywa hela wafikapo ndani, wanawake wa kaskazini wanadiliki kuwasachi waume zao na kuchukua vyote jamaa alivyo vitafuta, mwanume hawapikiwi chakula wanaishi kula mighahawani na wengi wao wanachoteshwa maji huko mabombani na wake zao, wanajifulia wenyewe na kufata watoto shule tena kwa amri za wake zao na ole wao wasifanye hivyo watajaziwa inzi

Hawasikilizwi na wake zao kabisa na wakilazimisha kusikilizwa kukimbizwa na panga, kushikiwa beto, kutishiwa kuuwawa ni jambo la kawaida mno, wanaume wa kaskazini wananyanyasika mno na hakuna wa kuwasaidia

Haki sawa imeshamiri dhidi ya wanawake zao, wanawake kudanga , kutoka bila ruhusa ya mume na kumjia usiku ni jambo la kawaida , wanawake kuwatelekezea wanaume watoto ni fasion hata kuzivunja ndoa huku kaskazini ili mali igawanywe ni fasion kwao, wanaume wa huku hawana wa kuwasaidia wanapelekwa mbiombio na wake zao


Ndugu hawa wanaume wa kaskazini wanahitaji uangalizi wa karibu sana, wanahitaji kusaidiwa kisaikolojia, wanahitaji kufarijiwa na kuombewa hakika maana wanateswa sana na wake zao kiasi cha wao kuamua kuishia vijiweni kwenye bangi na matumizi ya pombe kali
Mbona Dar ndio wamejaa design hiyo?
 
Ndugu kwa masikitiko makubwa naandika


Sijui wanawake wa kaskazini wanaume zao waliwakosea nini, kiasi cha wanawake kuwapeleka mbio mbio na kuwanyanyasa wanaume zao

Wana mfumo dume uliobakia midomoni mwao ila ndani mfumo jike ndiyo unaotawala hakika na waambieni, wanawake wanawanyanyasa sana hawa wanaume wa huku

Ni wakaidi ukiwaona, wababe , wenye misimamo mikali na miili iliyo jaa na kutuna misuli kwa mbali ila ukweli usiopingika wananyanyaswa sana na wanawake zao siyo kwenye uchumba au ndoa wananyanyaswa kila sector mfano hakuna. Wanawake zao ni wababe, wanaume wa kasakazini wanapigwa kabali, ngumi , kuchomwa kisu ni jambo la kawaida sana na hawana pakusemea hakika wanagugumia mioyoni mwao

Wanaume wa kaskazini wanapigwa na wake zao huko ndani, hawana amani ya moyo na asilimia kubwa wana magonjwa ya presha na mishtuko ya hapa na pale wakisikia sauti za wake zao.

Wanaume wa kaskazini wanasonona kali inayowapelekea kuvuta bangi na kutumia pombe kali sana baada ya kunyanyaswa na wanawake zao kimapenzi huko ndani, wanapelekeshwa na kupelekwa mchaka mchaka na wanawake zao pasi na kuonewa huruma yeyote ile

Wanaume wengi wa kaskazini wengi wameburuzwa kibabe sana lockup na wake zao, mademu zao na wachumba zao pasi na sababu za msingi, wanahudhuria kesi na mashitaka wanayoshitakiwa na wake zao yasiyo na kichwa wala miguu, utawakuta serikali za mitaa wakishitakiwa , utawakuta kwenye mabaraza ya wazee wakishutumiwa na wengine utawakuta sero wametupwa huko na wake zao, huku wanawake zao kuingia mitini

Utawakuta wanafanya kazi kwa bidii sa a ila wananyang'anywa hela wafikapo ndani, wanawake wa kaskazini wanadiliki kuwasachi waume zao na kuchukua vyote jamaa alivyo vitafuta, mwanume hawapikiwi chakula wanaishi kula mighahawani na wengi wao wanachoteshwa maji huko mabombani na wake zao, wanajifulia wenyewe na kufata watoto shule tena kwa amri za wake zao na ole wao wasifanye hivyo watajaziwa inzi

Hawasikilizwi na wake zao kabisa na wakilazimisha kusikilizwa kukimbizwa na panga, kushikiwa beto, kutishiwa kuuwawa ni jambo la kawaida mno, wanaume wa kaskazini wananyanyasika mno na hakuna wa kuwasaidia

Haki sawa imeshamiri dhidi ya wanawake zao, wanawake kudanga , kutoka bila ruhusa ya mume na kumjia usiku ni jambo la kawaida , wanawake kuwatelekezea wanaume watoto ni fasion hata kuzivunja ndoa huku kaskazini ili mali igawanywe ni fasion kwao, wanaume wa huku hawana wa kuwasaidia wanapelekwa mbiombio na wake zao


Ndugu hawa wanaume wa kaskazini wanahitaji uangalizi wa karibu sana, wanahitaji kusaidiwa kisaikolojia, wanahitaji kufarijiwa na kuombewa hakika maana wanateswa sana na wake zao kiasi cha wao kuamua kuishia vijiweni kwenye bangi na matumizi ya pombe kali
Katika Hao wanaums Ole Lengai Sabaya ma Godbless Lema na wao wamo?

Chanzo cha wanaume kunyanyaswa ni tabia ya kuhendekeza ngono na kupenda sana K.

Wanawake wakikuona unapenda K wanakuendesha na unakuwa huna Say maana hutaki kuikosa....kadiri siku zinavyoenda unaanza kuwa Mtumwa.

Unaanza kufagia na kufua nguo tukikushtua unatua unatwambia tusikuingilie Mapenzi yako kumbe ni Uraibu wa K ndio unakuendesha.
 
Hapo tengeru nimezunguka wanawake wa huko ni washari sana wanapiga vitasa mno japo kwa nje wana utii wa kujificha, nilishuhudia wanaume kadhaa wakifumuliwa na wanawake zao live mpaka wanakimbia wenyewe. Imagine mwanaume anapigwa na mke wake anakimbia nyumba,

Bila shaka wale wanawake walikua ni wameru
Hahaaa....Hapo Tengeru kund Demu mzuri sana alimkata jamaa Ngwala/mtama akaanguka Puu! kisogo chini.

Mshikaji badala agawe kipigo akakimbilia Polisi, yule demu akakamatwa akatiwa Ndani Siku mbili Tukaenda kumtoa.

Wanaume wa Hapo wamejivunjia heshima wenyewe.

Wakizaa na mwanamke wanamtelekeza badala wapambanw kiume.

Mwanaume wa Kasikazini akioa anataka Mke amsaidie gharama za familia kama chakula, ada, kodi, bili za maji na umeme. Kifupi wanaume wa Kaskazini wanapenda mteremko.

Kwenye dunia hii Ulaya na Amerika Mwanamke ukishampa majukum yako badi jiandae kuchukua majukum yake.

Mara kadhaa tumesikia Nikki wa Pili akisifia wanawake wa kaskazini eti wanajiweza wanasaidia matumizi nyumbani......hii Mentality ukiwa mwanaume achana nayo Wanawake hawaipendi.

Nitawapa mfano ambao sote tunaujua.

Miaka ya nyuma kulikuwa na Dada Mzuri sana, Msomi milionea anaitwa Boss Lady a.k.a Zari, huyu sister alitaka mwanaume anayejielewa.

Ndio maana aliacha umaarufu wake, pesa zake na elimu yake akaenda Kukaa Madalw kupika na Kupakua.

Kwa kuwa aliamini amepata Mwanaumw anayeweza kusimamia show.

Hii ni Tabia ya wanawake woote dunia nzima.
 
Back
Top Bottom